kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,065
- 1,535
nilidhani baada ya kikwete kutoa rai yake pale Adis ababa kuwa kagame akae na wapinzani wake kuondoa usumbufu kwa tanzania na bara letu kiujumla......kagame kwa upole angetoa rai kama ifuatavyo
1. nchi yangu ina historia ndefu hata hapa tulipofika ni mafanikio....
2. ni kweli kuwa matatizo yaliyo ndani ya nchi yangu yamepelekea sehemu kubwa ya eneo letu la maziwa makuu kuwa lenye misukosuko
3. matatizo haya ya nchi yangu yamepelekea watu wengi ndani na nje ya nchi kama kule DRC kongo kupata mateso makali ya vita na political unrest.....
4. natambua na ninaeashukuru jirani zangu kama raisi kikwete kwa kuendelea kutuvumilia kila mara kwa mzigo ambao tanzania imekuwa ikiubeba kutokana na matatizo yetu ya ndani
5. matatizo haya yetu ya ndani kimsingi ni ya kutoaminiana....watuzi hatujui tukiwakaribisha wahutu wenye nguvu nyumbani kitu gani kitatutokea...tunaweza kurudi tulikotoka...wasiwasi huu ndio ulinifanya nikamti ndani yle maza wa kihutu aliporudi na kutangaza nia kugombea uraisi....ininajua kuwa si kitendo cha kiungwana hata kidogo.....kule kwetu watusi ni wachache....wahutu ni wengi.... angechukua uraisi sijui ni nini ingekuwa hatima wa watusi wachache waliopo....
6. hali yetu ni kama ya afrika kusini ile ambayo mandela alichukua nchi...wazingu hawakujua kama angeamua vile .... na kuendelea na mapatano chini ya desmond tutu...leo hii africa kusini ni taifa kubwa....tungetamani historia mpya kama ya wenzetu.... kwetu sie rwanda watusi ni kama wazungu wale wa africa kusini...
7. tungetamani kuwa kama afrikc kusini...tujadiliane na wenzetu...lakini tunahitaji kuungwa mkono na jumuia ya kimataifa....ili kutengeneza rwanda mpya....kama walivyofanya afrika kusini...au kenya baada ya machafuko na mauaji...ambapo raisi kikwete aliongoza juhudi hizo...tungetamani jakaya kikwete attumie uzoefu wake katika medani za siasa za kimataifa kuandaa mazingra mazuri ya majadiliano ili kuijenga rwanda mpya...hali ilivyo sasa hati sisi tulio madarakani hatuifurahii...
8. tunataka kuwaachia watoto wetu rwanda mpya....tuliishafanya awamu ya kwanza tulisimamisha mauaji...tummenda ya pili...kutegemeza uchumi...sasa tuko awamu ya tatu....kuandaa mustakabali wa rwanda mpya....
9. kwa mara nyingine namshukuru raisi kikwete naishukuru jumuiya ya kimataifa kwa concern yake kwa rwanda na watu wake....
Mungu ibariki rwanda
Mungu ibariki Africa
watu....MAKOFIIIIIII!!!!!!!
nilikuwa napita pita kwenye mtandao nikakuta mzee wa bahima empire yoweri museveni katoa angalizo kuhusiana na muungano...
lakini kuna nukuu ambazo kazifanya ambazo ndizo zilizonipelekea kuandika post hii.....
"Sectarianism based on tribal and religious grounds interferes with the interest of both producers and entrepreneurs,''
As such, he argued that unification of East Africa is "a necessity as the people of the region are already linked through culture, history and dialects."
i think kagame reaction should be in the best way if he did put them this way...na inawezekana amemtuma aombe msamaha kwa namna hii.....
1. nchi yangu ina historia ndefu hata hapa tulipofika ni mafanikio....
2. ni kweli kuwa matatizo yaliyo ndani ya nchi yangu yamepelekea sehemu kubwa ya eneo letu la maziwa makuu kuwa lenye misukosuko
3. matatizo haya ya nchi yangu yamepelekea watu wengi ndani na nje ya nchi kama kule DRC kongo kupata mateso makali ya vita na political unrest.....
4. natambua na ninaeashukuru jirani zangu kama raisi kikwete kwa kuendelea kutuvumilia kila mara kwa mzigo ambao tanzania imekuwa ikiubeba kutokana na matatizo yetu ya ndani
5. matatizo haya yetu ya ndani kimsingi ni ya kutoaminiana....watuzi hatujui tukiwakaribisha wahutu wenye nguvu nyumbani kitu gani kitatutokea...tunaweza kurudi tulikotoka...wasiwasi huu ndio ulinifanya nikamti ndani yle maza wa kihutu aliporudi na kutangaza nia kugombea uraisi....ininajua kuwa si kitendo cha kiungwana hata kidogo.....kule kwetu watusi ni wachache....wahutu ni wengi.... angechukua uraisi sijui ni nini ingekuwa hatima wa watusi wachache waliopo....
6. hali yetu ni kama ya afrika kusini ile ambayo mandela alichukua nchi...wazingu hawakujua kama angeamua vile .... na kuendelea na mapatano chini ya desmond tutu...leo hii africa kusini ni taifa kubwa....tungetamani historia mpya kama ya wenzetu.... kwetu sie rwanda watusi ni kama wazungu wale wa africa kusini...
7. tungetamani kuwa kama afrikc kusini...tujadiliane na wenzetu...lakini tunahitaji kuungwa mkono na jumuia ya kimataifa....ili kutengeneza rwanda mpya....kama walivyofanya afrika kusini...au kenya baada ya machafuko na mauaji...ambapo raisi kikwete aliongoza juhudi hizo...tungetamani jakaya kikwete attumie uzoefu wake katika medani za siasa za kimataifa kuandaa mazingra mazuri ya majadiliano ili kuijenga rwanda mpya...hali ilivyo sasa hati sisi tulio madarakani hatuifurahii...
8. tunataka kuwaachia watoto wetu rwanda mpya....tuliishafanya awamu ya kwanza tulisimamisha mauaji...tummenda ya pili...kutegemeza uchumi...sasa tuko awamu ya tatu....kuandaa mustakabali wa rwanda mpya....
9. kwa mara nyingine namshukuru raisi kikwete naishukuru jumuiya ya kimataifa kwa concern yake kwa rwanda na watu wake....
Mungu ibariki rwanda
Mungu ibariki Africa
watu....MAKOFIIIIIII!!!!!!!
nilikuwa napita pita kwenye mtandao nikakuta mzee wa bahima empire yoweri museveni katoa angalizo kuhusiana na muungano...
lakini kuna nukuu ambazo kazifanya ambazo ndizo zilizonipelekea kuandika post hii.....
"Sectarianism based on tribal and religious grounds interferes with the interest of both producers and entrepreneurs,''
As such, he argued that unification of East Africa is "a necessity as the people of the region are already linked through culture, history and dialects."
i think kagame reaction should be in the best way if he did put them this way...na inawezekana amemtuma aombe msamaha kwa namna hii.....
Nyerere, Karume visionaries, who united two republics, says Museveni
By Correspondent | 13th June 2013
Uganda's President Yoweri Museveni has described Tanzania's founding fathers Dr Julius Nyerere and Sheikh Abeid Karume as visionary East African leaders and wise thinkers who gave up their country's sovereignty to unite the people for a common objective.
''These leaders should be saluted for the wise decision of uniting the Tanganyika Mainland and Zanzibar to form the United Republic of Tanzania,'' President Museveni told the Inter-Parliamentary Relations Seminar in Entebbe over the weekend.
"This brave and commendable example should be followed suit by the East African Community Partner States," he added.
President Museveni was addressing the two-day seminar run under the theme: "Promoting a people-centred and market driven East Africa".
"With a population of 140 million, [East Africa] offers huge market that can easily attract investors who in turn will offset the manufacturing age for the region," Museveni commented.
"Sectarianism based on tribal and religious grounds interferes with the interest of both producers and entrepreneurs,'' said the president in reference to what the union of Tanganyika and Zanzibar has achieved in terms of alleviating tribal and civil conflicts that are still plaguing some of the nations in the region.
As such, he argued that unification of East Africa is "a necessity as the people of the region are already linked through culture, history and dialects."
Mwalimu Nyerere, who retired from presidency in 1985, died from leukemia in London on 14 October 1999, aged 77. Sheikh Karume (67) was assassinated in April 1972 in Zanzibar Town.