Palamagamba Kabudi, are you really a Diplomat?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,315
24,178
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa anatakiwa kuwa balozi ambaye pamoja na kufikiria jibu sahihi katika masuala yote yanayohusu nchi, majibu yanatakiwa kulinda heshima ya nchi yetu.

A Diplomat, waswahili wa kule UK, wanasema "It's a person sent to lie with grace, for his country".

Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje si waziri wa Ulinzi. Kwahiyo, choice of words is very important.

Kwa mfano, muwakilishi wa nchi fulani akiongea uongo wa dhahiri, huwezi kusema muwakilishi wa nchi hiyo nyingine ni muongo, ila utasema "he is being economical with the truth".

Ujumbe unakuwa umefika, and with a light touch!

Career Diplomats tunao wengi, naomba mumpe somo ndugu yetu Palamagamba!
 
Lakini, mkuu 'Jidu', usisahau huyu (Kalamaganda) anawasilisha mwonekano wa anayemwakilisha, mteuzi wake, ili kumpendezesha yeye zaidi kuliko kulinda maslahi ya nchi.

Maslahi ya nchi sasa hivi ni yale yanayompendezesha anayeshikilia madaraka yote ya nchi. Asiyepingwa na yeyote ndani ya nchi hii.
 
Diplomacy seized to exist officially with the commencement of the new reign of the self proclaimed 'chosen one' in 2015.
If the person above him derives enormous pleasure in being undiplomatic, who is Kabudi to sugar coat words?
You will be surprised that he will be commended with the best of honors for having stood up against the beberus. And that is our fate as a nation.
 
Kabudi amewajibu hao mabeberu ukweli, wafanye maamuzi wanayoona yanafaa ila serikali haitawalamba miguu, wao na puppets wao kina Lissu walikuwa wanaona ni sahihi kuongea upuuzi wowote tu, kuna yule Mbunge mmoja wa EU parliament alifikia hatua hadi kusema matatizo ya ugaidi northern Mozambique ni sababu ya Tz, sasa wajinga wa namna hiyo unataka uwabembeleze ili iwaje?
 
Watakaoumia ni wanyonge!
18901234.jpg
 
Kabudi amewajibu hao mabeberu ukweli, wafanye maamuzi wanayoona yanafaa ila serikali haitawalamba miguu, wao na puppets wao kina Lissu walikuwa wanaona ni sahihi kuongea upuuzi wowote tu, kuna yule Mbunge mmoja wa EU parliament alifikia hatua hadi kusema matatizo ya ugaidi northern Mozambique ni sababu ya Tz, sasa wajinga wa namna hiyo unataka uwabembeleze ili iwaje?
Bado nasema, kufikisha ujumbe kwa kutokubaliana ni bure, bila kuamsha hisia zisizo na maana.
 
Back
Top Bottom