DMCT
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 2,276
- 5,929
Sasa mzee si tutakamatwa wafunge kama anavosema hapo juu wanakagua..Enjoy mkuu...
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
God's Plan.
Sasa mzee si tutakamatwa wafunge kama anavosema hapo juu wanakagua..Enjoy mkuu...
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Ni kwel mkuu jamaa wako strict sana..nimetumia pia crack nyingi walkua wanashtuka...ila tangu niipate hii..huu ni mwez kama wa 3 kimya..Nilishatumia za kucrack sanaa....hawa jamaa huwa wanacheki licence verification kila baada ya 24 hrs...iko siku tu watakushika....nikaona isiwe inshu...nikaingia playstore nikainunua kwa 2700tsh...ili nifaidi vema
Sent from my SM-G532F using Tapatalk
Ahsante, Mkuu maana ilikua iki expire nakaa siku moja na install upya ndo wananipa trial version wiki 2, i was very bored.Hii mkuu kushikwa sio leo..trust me,
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Na wakikushtukia hata upate crack nyingine haikubali...mpaka ufanye factory reset ya simu ndio unawez kutumia trial again...au hizo crackSasa mzee si tutakamatwa wafunge kama anavosema hapo juu wanakagua..
God's Plan.
Tuombe munguNilishatumia za kucrack sanaa....hawa jamaa huwa wanacheki licence verification kila baada ya 24 hrs...iko siku tu watakushika....nikaona isiwe inshu...nikaingia playstore nikainunua kwa 2700tsh...ili nifaidi vema
Sent from my SM-G532F using Tapatalk
Nunua tu mkuu sio ghali...inauzwa tsh 2400 hiviTuombe mungu
Nilikua najaribu kununua mkuu, kumbe kadi yangu ya Master haiko secured. Wakameza kadi nikafuatilia upya.Nunua tu mkuu sio ghali...inauzwa tsh 2400 hivi
Sent from my SM-G532F using Tapatalk
Baada ya kuinstall unlocker na yenyewe kuna process nyingine au nikusikiliza tu ngomaWakuu,kumekua na music player tofaut za simu zetu,ila hadi sasa sizan kama kuna wa kuipita Poweramp...
Tangu enzi za symbian hii player ilkua yamoto..na ilikua ngumu sana kuchakachua..
Jinsi ya ku install,anza kuinstall unlocker kisha malzia na poweramp yenyewe..
View attachment 848786View attachment 848787
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Ni ki load ngoma zako tu mkuuBaada ya kuinstall unlocker na yenyewe kuna process nyingine au nikusikiliza tu ngoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuko p1 mkuu now nakula ngoma moja ya werrasonNi ki load ngoma zako tu mkuu
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Umetisha mkuu...set tu equllizer hzo upate mzki mzur tuTuko p1 mkuu now nakula ngoma moja ya werrasonView attachment 848906
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nifanye ivyoUmetisha mkuu...set tu equllizer hzo upate mzki mzur tu
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Hapa sijaelewa maana ni kuwa ina nafasi kubwa zaidi ama inafuta mafile unapoweka katika simu? Natanguliza shukraniHahah mkuu unatakiwa uchague folder zako ambazo utataka ipite nazo..vinginevyo utaskia vyote
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Thanks nimesha pakuaWakuu,kumekua na music player tofaut za simu zetu,ila hadi sasa sizan kama kuna wa kuipita Poweramp...
Tangu enzi za symbian hii player ilkua yamoto..na ilikua ngumu sana kuchakachua..
Jinsi ya ku install,anza kuinstall unlocker kisha malzia na poweramp yenyewe..
View attachment 848786View attachment 848787
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Wapi hujaelewa mkuuHapa sijaelewa maana ni kuwa ina nafasi kubwa zaidi ama inafuta mafile unapoweka katika simu? Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
"Hahah mkuu unatakiwa uchague folder zako ambazo utataka ipite nazo..vinginevyo utaskia vyote"Wapi hujaelewa mkuu
Sent from my SM-G920P using Tapatalk