mensaah
JF-Expert Member
- Sep 12, 2016
- 927
- 1,311
Mkuu ww una duka?, maana mwaka 2014 nilikuwa mkoa mmoja bei ilikuwa 22000 ya jumla kwa box lenye pakti 20 sasa miaka imepita 2 ikuwa kiasi gan?, je tuna kiwanda cha tambi tz?Kikawaida inatakiwa iwe Tsh 750/=