Sisi ni dona country 😀😀Na sisi watanzania tufuate nyayo
Sisi ni dona country 😀😀Na sisi watanzania tufuate nyayo
Asante sana Mkuu,Kuna watu wanawachukulia poa au hawawajui Pakistan ana jeshi imara Sana pia ana nuclear weapons India anaufahamu moto wake ata hivo yuko sawa atalipate ela ataweka Bank gan sasa
Fursa hiyo, namimi mdeni simlipi nimemwekea vikwazo kwa kumuunga mkono putin 🤣🤣Kupitia waziri mkuu wake, Pakistan ambayo ni mdaiwa imetangaza kuiwekea vikwazo vya kiuchumi Urusi kwa kutolipa madeni wanayodaiwa ambayo ni zaidi ya dola za kimarekani bilioni moja. Hiki kikwazo kwangu mimi kimenishangaza na nimeishia kucheka 😄. Kwa watasha mnaweza fungua link mkajisomea zaidi.
Walipe kwa cashAsante sana Mkuu,
Comment yako ndio funga kazi ya uzi.
Bank hazifanyi kazi so biashara haziwezekaniki.
Russia wana makombora ila West ndio wanamiliki uchumi wa Dunia.
Pakistani nayo ni dona kantri? Yu pipo bi siriazi samtaimu
Ajiandae naye kwa kichapo kwani hayuko mbali sana na Urusi...Kupitia waziri mkuu wake, Pakistan ambayo ni mdaiwa imetangaza kuiwekea vikwazo vya kiuchumi Urusi kwa kutolipa madeni wanayodaiwa ambayo ni zaidi ya dola za kimarekani bilioni moja. Hiki kikwazo kwangu mimi kimenishangaza na nimeishia kucheka 😄. Kwa watasha mnaweza fungua link mkajisomea zaidi.
Serikali muda wote ina hela na muda wote haina hela.Siku Tano tu kakosa Hadi pesa ya kulipa deni?! Ukiisha mwezi si atakosa Hadi hela ya unga