Rahma Salum
Member
- Sep 7, 2020
- 30
- 59
Mlipuko wa bomu uliotokea Mei 21, 2021 katika mkutano wa hadhara wa Wapalestina Magharibi mwa Pakistani umeua watu 6 na kujeruhi 3 akiwemo kiongozi wa chama cha kidini chenye msimamo mkali.
Bomu la pikipiki lililipuka wakati watu wakitawanyika mwishoni mwa mkutano uliofanyika katika Jiji la Chaman karibu na mpaka wa Afghanistan katika Mkoa wa Balochistan
Bomu hilo limemdhuru pia Maula Abdul Qadir Luni Kiongozi wa chama cha kidini ambaye ana historia ya kusaidia wapiganaji wa Afghanistan wa Taliban
Polisi wamesema hakuna dai la moja kwa moja la wawajibikaji.
Chanzo: Reuters
Bomu la pikipiki lililipuka wakati watu wakitawanyika mwishoni mwa mkutano uliofanyika katika Jiji la Chaman karibu na mpaka wa Afghanistan katika Mkoa wa Balochistan
Bomu hilo limemdhuru pia Maula Abdul Qadir Luni Kiongozi wa chama cha kidini ambaye ana historia ya kusaidia wapiganaji wa Afghanistan wa Taliban
Polisi wamesema hakuna dai la moja kwa moja la wawajibikaji.
Chanzo: Reuters