Zurie
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 1,743
- 4,268
Watu nane wakiwemo askari polisi wanne wamefariki asubuhi ya leo katika mashambulio mawili mjini Dera Ismail Khan
Shambulio la kwanza limetokea katika kituo cha polisi ambapo askari wawili waliuawa na washambuliaji kufanikiwa kutoroka
Wakati miili ya askari hao ikipelekwa hospitali, mlipuko ulitokea kwenye lango la kuingilia na kuua watu 6. Imethibitika kuwa lilikuwa shambulio la kujitoa mhanga lililofanywa na mwanamke aliyevalia “niqab”
Wengine 15 walijeruhiwa katika mlipuko wa pili wakiwemo wafanyakazi wa hospitali hiyo ya DHQ, raia na askari na eneo hilo limefungwa ili kupisha uchunguzi
========
At least eight people have been killed in two attacks in Dera Ismail Khan Sunday morning.
The first attack occurred at a police check post near Kotla Seedan. Two cops were killed in firing. The attackers managed to flee, according to the police.
When the policemen’s bodies were being taken to the DHQ Hospital, a blast occurred at the hospital’s gate. The police say it was a suicide bombing and the Bomb Disposal Squad has confirmed that the bomber was a woman in a niqab.
Six people were killed in the blast and at least 15 people were injured. These include hospital security staff, three civilians and policemen. The injured were taken to CMH DI Khan.
The policemen have been identified as Hidayat, Aslam, Khalil and Kashif.
The police and Frontier Constabulary have sealed the area.
Chanzo: Samaa Tv
Shambulio la kwanza limetokea katika kituo cha polisi ambapo askari wawili waliuawa na washambuliaji kufanikiwa kutoroka
Wakati miili ya askari hao ikipelekwa hospitali, mlipuko ulitokea kwenye lango la kuingilia na kuua watu 6. Imethibitika kuwa lilikuwa shambulio la kujitoa mhanga lililofanywa na mwanamke aliyevalia “niqab”
Wengine 15 walijeruhiwa katika mlipuko wa pili wakiwemo wafanyakazi wa hospitali hiyo ya DHQ, raia na askari na eneo hilo limefungwa ili kupisha uchunguzi
========
At least eight people have been killed in two attacks in Dera Ismail Khan Sunday morning.
The first attack occurred at a police check post near Kotla Seedan. Two cops were killed in firing. The attackers managed to flee, according to the police.
When the policemen’s bodies were being taken to the DHQ Hospital, a blast occurred at the hospital’s gate. The police say it was a suicide bombing and the Bomb Disposal Squad has confirmed that the bomber was a woman in a niqab.
Six people were killed in the blast and at least 15 people were injured. These include hospital security staff, three civilians and policemen. The injured were taken to CMH DI Khan.
The policemen have been identified as Hidayat, Aslam, Khalil and Kashif.
The police and Frontier Constabulary have sealed the area.
Chanzo: Samaa Tv