Siwapendi Paka/mbwa na akinisogelea buti la kichwa litamhusu.
Napenda Ng’ombe/mbuzi/kuku.
Hahahah kuna kimoja kilikuwa kinapanda kitandani na kulala kichwani kwa juu ya neti, nasikia kruuuu! Kruuu! Ukimpiga anaondoka ila ukilala kinakuja tena, tunakifungia milango sasa hivi.Ananikera ule muungurumo wake tu,utadikia kruuu!kruuu!kruu!!.
Hata mimiMi manyau siyapendi sijui kwa nini mimi niltee mbwa.