Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Mr Mshana Tafadhali Naomba Unifafanulie Kidogo Kuhusiana na Ile alama Nyeusi katika Paji la Uso kwa Waislam. Inauhusiano Gani na Melanin au Pineal Gland. Hasa kwa binadamu Wesi.( Waafrika)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za humu wanajamvi, naamin mu wazima wa Afya, leo naomba kuwashirikisha Kuhusu unyanyasaji wa hawa ACACIA ambaye ni mshirika wa AFRICAN BARICK GOLD(ABG) ambao wanamiliki migodi ya dhahabu kamavile Buzwagi Gold mining, Geita Gold mining na Bulyanhulu Gold mining huko Kakola,kutokana na kazi mbalimbali za mgodini, hutokea wafanyakazi kupata ajali au ulemavu. Kwa mfano kuwa kiziwi, kuvunjika viungo vya mwili,matatzo ya uti wa mgongo, hii hutokea kutokana na uendeshaji wa mitambo mikubwa ndani ya mgodi.

Baada ya mfanyakazi kupata ulemavu, ACACIA huwaweka ktk makundi mawili, temporary disability na permanent disability. Kisha huwaachisha kazi kwa sababu za kiafya(medical reason) sasa makundi mawili yote hulipwa fidia, lakini yule mwenye temporary disability yeye hupata tiba, mfano aliyevunjika mguu, akishapata matibabu na kupona, analipwa fidia tu, Lkn mwenye permanent disability yeye hulipwa fidia, lkn ACACIA wanaendelea kumtibia na kumlipa hela ya matibabu ikiwemo na kumsimamia tiba ta vitendo(physiotherapy)

Kutokana na gharama kubwa za fidia, ACACIA hukwepa gharama hzo kwa baadhi ya wagonjwa kwa kuwafukuza kazini kwa readon ya utoro au kumsingzia wizi. Hili linanishangaza sana sababu hii ni kampuni kubwa, wamiliki n wazungu, viongozi wa ACICIA kwa sasa wengi ni wabongo, hawahawa wabongo ndo huwachapa rungu wafanyakazi walemavu na wagonjwa kwa kuwafukuza / kuwaachisha kazi kwa reason ya utoro ama kuwasingzia wizi, Pia ili kukwepa gharama za kuwahudumia ,ACACIA huwalipa fidia chache tu wahanga, pia baadhi ya watu walopata permanent disability huacha ghafla kuwasimamia matibabu endelevu kwa:

1.Dr. wa kampuni kuidhinisha/kupotosha kuwa mgonjwa kapona
2.Kutoa rushwa kwa ma~physiotherapist wa hosptal za rufaa,ili watoe ripot kuwa mgonjwa kapona
3.Kutoa rushwa kwa watendaji ama medical officer wa OSHA(Hii ni mamlaka inahusika na kusimamia haki za wafanyakazi waloumia katka mazingira ya kazi) sasa huyu daktari wa OSHA hupotosha kuwa ULEMAVU WA MGONJWA HAUJATOKANA NA KAZI ZA BUZWAGI.
4.ACACIA huhonga mahakimu ama mawakili wa wagonjwa ili kesi iishe haraka, why, ili ACACIA isichafuliwe mbele ya serikali kuwa inanyanyasa wafanyakazi. Na hili huwa wanawatamkia wagonjwa waziwazi kuwa ata ukifungua kesi hutafika popote.

Mgonjwa akiwa na BACK-UP KUBWA, huwa wanamuita na kumwambia aifunge kesi ili wamlipe kiasi akitakacho #mfano milion 200 ili kesi iishe, kisha walalahoi wasokuwa na back~up hufyekelewa mbali.

Baadhi ya wagonjwa hawa hukomaa na kesi, mwishowe hela sa kusafiri kwenda mahakaman(mahakama kuu au ya rufaa) huwa wanakuwa watoro kesi zikitajwa hivyo ACACIA huibuka mshindi.

kwa hiyo kuna kundi kubwa la wafanyakazi walopata ulemavu kazini, wakatelekezwa na kampuni.
NB#
KTK ACACIA NA MIGODI MINGINE MIKUBWA, WAFANYAKAZI WOTE HUPIMWA AFYA YA MWILI NA AKILI, HII NI PAMOJA NA UTIMAMU WA VIUNGO VYA MWILI, MTU AKIFUZU VIPIMO HIVI MARIDADI NDIPO HUSAINISHWA MKATABA NA KAMPUNI, KWA HIYO MTU AKIWA NA TATIZO KIMWILI ,KIAFYA KAMWE HAWAMWAJIRI.

nmekulia mazingira ya migodi hii ya ACACIA, na baadhi ya wahanga nawajua, wiki hii nmebahatika kukutana na mmoja wao, ambaye ni mama wa watoto wawili, yeye aliajiriwa na AFRICAN BARICK GOLD,(kipindi hicho bado ACACIA hajachukua madaraka)

ilikuwa ni 2012, alipasi#KUFUZU vipmo vya mwili,afya na akili, hivo akaajiriwa kuendesha mitambo mikubwa mikubwa(HEAVY MACHINE OPERATOR), (miezi mitatu ya kwanza unakuwa chin ya uangalizi,baada ya hapo unakuwa permanent employed.)
Alifanya kazi kwa weledi wote, lkn miaka miwili baadaye, alianza kupata maumivu ya mgongo, ilikuwa 2014, mwanzoni wa 2015 aliletwa Dar es salaam, MOI kwa vipimo,alisafirishwa na ndege ya kampuni akiwa na wafanyakazi wengne wagonjwa.

ambapo baada ya kupimwa MRI NA CT SCAN ,ilijulikana kuwa , mifupa ya uti wa mgongo iliyo L3&l4(L=lumbar area) imesagika, mild bifecetal arthritis.. hivo akaandikiwa dawa na ahudhurie physiotherapy. Madaktari wa muhimbili, MOI walisema chanzo mojawapo cha tatzo ni kuendesha mitambo yenye mitikisiko mikubwa.

hivyo alirudi Kahama, akaendelea na dawa na kuhudhuria physiotherapy(Akitumia bima ya kampuni,ACACIA wanatumia bima ya afya ya AAR HEALTH INSUARANCE)

alipokuwa akijiuguza ,ilipelekea asiende kazini, hivyo HR wa ACACIA akamuachisha kazi kwa reason ya UTORO na arirudsha ID ya bima ya AAR. lkn huku ACACIA wakijua ni mgonjwa.

2015 akafungua kesi mahakama ya mwanzo kahama, kesi ikahamishiwa shinyanga, baada ya mikiki mikiki ya kesi , 2017 yeye na wenzake baadhi walishinda kesi hivo ACACIA wakawalipa fidia ya kuwasababishia ugonjwa kazini. lkn pia huyu mama ilitakuwa aendelee kupatiwa matibabu na ACACIA, ACACIA wakagoma kuwa Disability haijasababshwa na kazi, mwaka 2017 kwa Gharama zake bnafisi alijuja Dar es salaam, MOI, kurudia vipmo vya MRI, NA CT SCAN ,ambapo madaktari wa MOI wakagundua madudu mengne ambayo yalifichwa na ripoti ya mwanzo iliyoratibiwa chini ya usimamizi wa ACACIA, madaktari wakasema siyo tu kuwa ana bifecetal arthritis between l3&l4, bali pia ana DISC PLORAPSE BETWEEN L3&L4
hivo anahitaji operation haraka la sivyo hatatembea tena akikawia operation. Operation inagharimu zaid ya million 4.

hivo huyu mama Jane feza arirudi ACACIA kuomba wamtibie kama sheria na katiba inavyosema, wakakataa kuwa tatizo lake halijatokana na kazi, Bi Jane Feza alienda kuwashitaki OSHA. huko OSHA nao walimzungusha na dalili za rushwa zikionekana.

Wiki ilopita ACACIA walimpigia simu kuwa aende OSHA kufata conclusion ya suala lake, sintofahamu ingne, ni kuwa walimpatia nauli elf 60 nauli ya Bus kutoka Kahama kuja Dar es salaam, why ? mgonjwa wa uti wa mgongo asafirishwr kwa basi? why asilipiwe ndege kana awali? badi Jumapili kaja Dar. kwa basi, walimlipia hoteli, jumatatu apumzike, jumanne aende OSHA kufata majibu. Jumanne tar 8 january 2019 alifika Ofisi za OSHA kinondoni, wailimpatia ripoti ya suala lake kuwa HALIJATOKANA NA KAZI ZA BUZWAGI GOLD MINE. Tafsiri ni kuwa ACACIA isihusike na kumtibu, BAADA YA KUPATA RIPOTI HIYO BI JANE FEZA ALIZIMIA, Daktari wa OSHA akampeleke hospitali jirani ya KINONDONI HOSPITAL ambapo alipata first aid, akazinduka, hospital ikahitaji malipo, Osha wakasema MWAJIRI WAKE ACACIA WATALIPA, kweli wanalipia care anayopata hapo kinondoni hospital, madaktar wa hapo wameshauri wampe rufaa kwenda MOI ili apate operation ya tatzo lake, maana sasa ananyanyuka kwa shida, akikawia hatatembea tena, ACACIA WAMEGOMA KUGHARAMIA OPETATIPN, WANATUMIA RIPOTI YA OSHA KUMNYANYASA.

Surely kuna harufu ya rushwa toka ACACIA kwenda OSHA.
nimemuuliza , acacia wanalipa gharama za kulazwa na chakula, akasema wanawapigia simu ACACIA, mpaka kaka yake JOSEPH FEZA akoromeane nao ndo wanatuma elfu 30 ya chakula, wakat mwingine hawapokei simu.

lkn pia amesema tokea 2015 hawez kuinama,kufua na kufanya kaz za nguvu, musa wote ananunua dawa alizoandikuwa MOI ili kupunguza maumivu ya mgongo na miguu, dawa hizo ni Neurotone,Prigabalin na ketoprofen gel ya kuchua.

SASA WANAJAMVI, TUMSAIDIE BI JANE, HILI SUALA LIFIKE KWA RAIS MAGUFULI NA WIZARA YA KAZI ILI BI JANE FEZA#0753 576956 APATE OPERATION NA ACACIA WAENDELEE KUMTIBU. NTASOMA KILA MAONI YENU, PUCHA CHINI NI MKATABA WA KAZI, MAJIBU HALISI YA MOI, MOJA YA RUFAA YA BUZWAGI KUMPELEKA MOI, PIA NA MAJIBU YA OSHA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za humu wanajamvi, naamin mu wazima wa Afya, leo naomba kuwashirikisha Kuhusu unyanyasaji wa hawa ACACIA ambaye ni mshirika wa AFRICAN BARICK GOLD(ABG) ambao wanamiliki migodi ya dhahabu kamavile Buzwagi Gold mining, Geita Gold mining na Bulyanhulu Gold mining huko Kakola,kutokana na kazi mbalimbali za mgodini, hutokea wafanyakazi kupata ajali au ulemavu. Kwa mfano kuwa kiziwi, kuvunjika viungo vya mwili,matatzo ya uti wa mgongo, hii hutokea kutokana na uendeshaji wa mitambo mikubwa ndani ya mgodi.

Baada ya mfanyakazi kupata ulemavu, ACACIA huwaweka ktk makundi mawili, temporary disability na permanent disability. Kisha huwaachisha kazi kwa sababu za kiafya(medical reason) sasa makundi mawili yote hulipwa fidia, lakini yule mwenye temporary disability yeye hupata tiba, mfano aliyevunjika mguu, akishapata matibabu na kupona, analipwa fidia tu, Lkn mwenye permanent disability yeye hulipwa fidia, lkn ACACIA wanaendelea kumtibia na kumlipa hela ya matibabu ikiwemo na kumsimamia tiba ta vitendo(physiotherapy)

Kutokana na gharama kubwa za fidia, ACACIA hukwepa gharama hzo kwa baadhi ya wagonjwa kwa kuwafukuza kazini kwa readon ya utoro au kumsingzia wizi. Hili linanishangaza sana sababu hii ni kampuni kubwa, wamiliki n wazungu, viongozi wa ACICIA kwa sasa wengi ni wabongo, hawahawa wabongo ndo huwachapa rungu wafanyakazi walemavu na wagonjwa kwa kuwafukuza / kuwaachisha kazi kwa reason ya utoro ama kuwasingzia wizi, Pia ili kukwepa gharama za kuwahudumia ,ACACIA huwalipa fidia chache tu wahanga, pia baadhi ya watu walopata permanent disability huacha ghafla kuwasimamia matibabu endelevu kwa:

1.Dr. wa kampuni kuidhinisha/kupotosha kuwa mgonjwa kapona
2.Kutoa rushwa kwa ma~physiotherapist wa hosptal za rufaa,ili watoe ripot kuwa mgonjwa kapona
3.Kutoa rushwa kwa watendaji ama medical officer wa OSHA(Hii ni mamlaka inahusika na kusimamia haki za wafanyakazi waloumia katka mazingira ya kazi) sasa huyu daktari wa OSHA hupotosha kuwa ULEMAVU WA MGONJWA HAUJATOKANA NA KAZI ZA BUZWAGI.
4.ACACIA huhonga mahakimu ama mawakili wa wagonjwa ili kesi iishe haraka, why, ili ACACIA isichafuliwe mbele ya serikali kuwa inanyanyasa wafanyakazi. Na hili huwa wanawatamkia wagonjwa waziwazi kuwa ata ukifungua kesi hutafika popote.

Mgonjwa akiwa na BACK-UP KUBWA, huwa wanamuita na kumwambia aifunge kesi ili wamlipe kiasi akitakacho #mfano milion 200 ili kesi iishe, kisha walalahoi wasokuwa na back~up hufyekelewa mbali.

Baadhi ya wagonjwa hawa hukomaa na kesi, mwishowe hela sa kusafiri kwenda mahakaman(mahakama kuu au ya rufaa) huwa wanakuwa watoro kesi zikitajwa hivyo ACACIA huibuka mshindi.

kwa hiyo kuna kundi kubwa la wafanyakazi walopata ulemavu kazini, wakatelekezwa na kampuni.
NB#
KTK ACACIA NA MIGODI MINGINE MIKUBWA, WAFANYAKAZI WOTE HUPIMWA AFYA YA MWILI NA AKILI, HII NI PAMOJA NA UTIMAMU WA VIUNGO VYA MWILI, MTU AKIFUZU VIPIMO HIVI MARIDADI NDIPO HUSAINISHWA MKATABA NA KAMPUNI, KWA HIYO MTU AKIWA NA TATIZO KIMWILI ,KIAFYA KAMWE HAWAMWAJIRI.

nmekulia mazingira ya migodi hii ya ACACIA, na baadhi ya wahanga nawajua, wiki hii nmebahatika kukutana na mmoja wao, ambaye ni mama wa watoto wawili, yeye aliajiriwa na AFRICAN BARICK GOLD,(kipindi hicho bado ACACIA hajachukua madaraka)

ilikuwa ni 2012, alipasi#KUFUZU vipmo vya mwili,afya na akili, hivo akaajiriwa kuendesha mitambo mikubwa mikubwa(HEAVY MACHINE OPERATOR), (miezi mitatu ya kwanza unakuwa chin ya uangalizi,baada ya hapo unakuwa permanent employed.)
Alifanya kazi kwa weledi wote, lkn miaka miwili baadaye, alianza kupata maumivu ya mgongo, ilikuwa 2014, mwanzoni wa 2015 aliletwa Dar es salaam, MOI kwa vipimo,alisafirishwa na ndege ya kampuni akiwa na wafanyakazi wengne wagonjwa.

ambapo baada ya kupimwa MRI NA CT SCAN ,ilijulikana kuwa , mifupa ya uti wa mgongo iliyo L3&l4(L=lumbar area) imesagika, mild bifecetal arthritis.. hivo akaandikiwa dawa na ahudhurie physiotherapy. Madaktari wa muhimbili, MOI walisema chanzo mojawapo cha tatzo ni kuendesha mitambo yenye mitikisiko mikubwa.

hivyo alirudi Kahama, akaendelea na dawa na kuhudhuria physiotherapy(Akitumia bima ya kampuni,ACACIA wanatumia bima ya afya ya AAR HEALTH INSUARANCE)

alipokuwa akijiuguza ,ilipelekea asiende kazini, hivyo HR wa ACACIA akamuachisha kazi kwa reason ya UTORO na arirudsha ID ya bima ya AAR. lkn huku ACACIA wakijua ni mgonjwa.

2015 akafungua kesi mahakama ya mwanzo kahama, kesi ikahamishiwa shinyanga, baada ya mikiki mikiki ya kesi , 2017 yeye na wenzake baadhi walishinda kesi hivo ACACIA wakawalipa fidia ya kuwasababishia ugonjwa kazini. lkn pia huyu mama ilitakuwa aendelee kupatiwa matibabu na ACACIA, ACACIA wakagoma kuwa Disability haijasababshwa na kazi, mwaka 2017 kwa Gharama zake bnafisi alijuja Dar es salaam, MOI, kurudia vipmo vya MRI, NA CT SCAN ,ambapo madaktari wa MOI wakagundua madudu mengne ambayo yalifichwa na ripoti ya mwanzo iliyoratibiwa chini ya usimamizi wa ACACIA, madaktari wakasema siyo tu kuwa ana bifecetal arthritis between l3&l4, bali pia ana DISC PLORAPSE BETWEEN L3&L4
hivo anahitaji operation haraka la sivyo hatatembea tena akikawia operation. Operation inagharimu zaid ya million 4.

hivo huyu mama Jane feza arirudi ACACIA kuomba wamtibie kama sheria na katiba inavyosema, wakakataa kuwa tatizo lake halijatokana na kazi, Bi Jane Feza alienda kuwashitaki OSHA. huko OSHA nao walimzungusha na dalili za rushwa zikionekana.

Wiki ilopita ACACIA walimpigia simu kuwa aende OSHA kufata conclusion ya suala lake, sintofahamu ingne, ni kuwa walimpatia nauli elf 60 nauli ya Bus kutoka Kahama kuja Dar es salaam, why ? mgonjwa wa uti wa mgongo asafirishwr kwa basi? why asilipiwe ndege kana awali? badi Jumapili kaja Dar. kwa basi, walimlipia hoteli, jumatatu apumzike, jumanne aende OSHA kufata majibu. Jumanne tar 8 january 2019 alifika Ofisi za OSHA kinondoni, wailimpatia ripoti ya suala lake kuwa HALIJATOKANA NA KAZI ZA BUZWAGI GOLD MINE. Tafsiri ni kuwa ACACIA isihusike na kumtibu, BAADA YA KUPATA RIPOTI HIYO BI JANE FEZA ALIZIMIA, Daktari wa OSHA akampeleke hospitali jirani ya KINONDONI HOSPITAL ambapo alipata first aid, akazinduka, hospital ikahitaji malipo, Osha wakasema MWAJIRI WAKE ACACIA WATALIPA, kweli wanalipia care anayopata hapo kinondoni hospital, madaktar wa hapo wameshauri wampe rufaa kwenda MOI ili apate operation ya tatzo lake, maana sasa ananyanyuka kwa shida, akikawia hatatembea tena, ACACIA WAMEGOMA KUGHARAMIA OPETATIPN, WANATUMIA RIPOTI YA OSHA KUMNYANYASA.

Surely kuna harufu ya rushwa toka ACACIA kwenda OSHA.
nimemuuliza , acacia wanalipa gharama za kulazwa na chakula, akasema wanawapigia simu ACACIA, mpaka kaka yake JOSEPH FEZA akoromeane nao ndo wanatuma elfu 30 ya chakula, wakat mwingine hawapokei simu.

lkn pia amesema tokea 2015 hawez kuinama,kufua na kufanya kaz za nguvu, musa wote ananunua dawa alizoandikuwa MOI ili kupunguza maumivu ya mgongo na miguu, dawa hizo ni Neurotone,Prigabalin na ketoprofen gel ya kuchua.

SASA WANAJAMVI, TUMSAIDIE BI JANE, HILI SUALA LIFIKE KWA RAIS MAGUFULI NA WIZARA YA KAZI ILI BI JANE FEZA#0753 576956 APATE OPERATION NA ACACIA WAENDELEE KUMTIBU. NTASOMA KILA MAONI YENU, PUCHA CHINI NI MKATABA WA KAZI, MAJIBU HALISI YA MOI, MOJA YA RUFAA YA BUZWAGI KUMPELEKA MOI, PIA NA MAJIBU YA OSHA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhali fungua uzi mpya.tengeneza heading tu.Hakika utapata msaada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafadhali fungua uzi mpya.tengeneza heading tu.Hakika utapata msaada

Sent using Jamii Forums mobile app
hizi nyaraka zake, mkataba wa kazi ambao unaonesha alifuzu vipmo ndo akaajiriwa
2019-01-11%2010.22.42.jpeg
2019-01-11%2010.25.25.jpeg
2019-01-11%2010.24.02.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mr Mshana Tafadhali Naomba Unifafanulie Kidogo Kuhusiana na Ile alama Nyeusi katika Paji la Uso kwa Waislam. Inauhusiano Gani na Melanin au Pineal Gland. Hasa kwa binadamu Wesi.( Waafrika)

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana ile ni sigida/sijida tu... Ni kovu kutokana na kusugua/kukita kichwa chini wakati wa kufanya ibada... Hata wewe ukifanya kila siku unaipata

Jr
 
Kuna ndugu yangu anatatizo ..anasema kila ufikapo usiku hasa ule muda wa kulala Kuna kitu hua kinazunguka kwenye paji lake la uso..tatizo litakua ni Nini mshana?
 
Kuna ndugu yangu anatatizo ..anasema kila ufikapo usiku hasa ule muda wa kulala Kuna kitu hua kinazunguka kwenye paji lake la uso..tatizo litakua ni Nini mshana?
Mmh mpaka niongee naye ana kwa ana nimhoji mambo kandaa... Hapa ni ngumu nitaishia tu kubunibuni kitu ambacho sio kizuri
 
Back
Top Bottom