Jesuitdon
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 3,154
- 2,657
Ndo ukweli.
Hata na wewe na mambo haya mna mahaba sana
Ndo ukweli.
Yeah lakini napenda kuandika uchambuzi na si C&PNdo ukweli.
Hata na wewe na mambo haya mna mahaba sana
Uchambuzi gan ujanja ujanja tu Tz Amna lolote.
Kwa uandishi huu wa kuchanganya herufi kubwa na ndogo, tayari hili ni tatizo kubwa la kiufahanu na kielimu pia... Nina kawaida moja nikishahisi mtu ni mpumbavu halafu ni mpuuzi nakoma kufanya naye mjadala... Naomba usiwe mmojawapo la sivyo hii ni reply yangu ya mwisho kwakoUchambuzi gan ujanja ujanja tu Tz Amna lolote.
Umeanza Ku C&P toka uzaliwe
Kwanzia lugha
Hadi sasa ni kuulizze umegundua nn New sasa????
je kwa kutolala chali unaogopa na wewe kuona mauzauza?Hapana silali chali au kifudifudi nalala mshazari, Yaani silalii tumbo au mgongo
Jr
Asante sana, vipi hilo la Obama lilitekelezwa?Human microchip implant ndiyo technology inayokuja kuumaliza ulimwengu kwan wana mpango wa kubakizi watu ambao ni easy manageable ,easy controlled under their own conspiracy which bases on microchip ability to allow third eye make decision on how to change and feel the world like a village in all aspects of nature duality ....hakika through microchip utakuwa na uwezo mkubwa sana wa kufikiri mambo hata ambayo its beyond thinking capacity...hiyo microchip inauwezo wa kuasha jicho la 3 katka utendaji kazi mkubwa na kwa ufanisikubwa...ndo mana wanahitaji mtu apandikizwe ile kitu kwan itakuwa connected kwenye central computalised network ambayo itakusanya thinkings zote za mwanadamu aliyepandkizwa ile kitu..
Tayari rais obama ameshasaini mkataba na Rockfeller foundation wanaotengeneza microchip ambazo ifikapo mwaka 2017 watanza kuimplant every new CHIRD BORN IN US...na badaye watazikomand nchi zingine kufanya hivo bit itakuwa ni mission moja bayo it is very secret only doctors ang high physicians ndo watajua misssion behind bit other people tutadanganywa kuwa ni chanjo ya magonjwa hatari yanayokuja tokea kwa badae but it will be a blackminding decision kwetu sisi wenye uwezo mdogo wa kujua mambo..
Rockerfeller foundation is one of 13 high families zinazoongoza kwa misingi ya illumonanti conspirancy katika kutekeleza agizo la NEW WORD ORDER (N.W.O) ambapo msingi wake mkubwa ni kutimiza agizo la kuprepare one world under one governing system chini ya misingi ya kishetani..
ALLIENS TECHNOLOGY THROUGH ROCKERFELLER FOUNDATION WANABUNI how this microchip will be induced to manipulate human race into controllable and manageable conditions..hawa hawa Rockerfeller ndio wana maabara kubwa sana iliyopo Area 51 sub station 6 base 66 Cr65A iliyopo pia Arizona ambayo hakika ina watu ambao kazi yao kubwa ni kutengeneza VIRUS ambao wata be released soon kuhakikisha wana invade worl massive population kupungiza watu lakini pia kushambulia PINEAL GLAND ambayo hakika ndio kiini cha kuamsha hisia za jicho la 3 ambalo mwanadamu akilitumia ipasavyo anaweza akajinasua katka mtego wa kuitumikia gadhabu ya mvinyo wa hasira ya mwenyezi mungu juu ya watakao muasi na kuishi maisha under satarnic conspirancy....
Tockefeller ha hao ndio waliotengeneza virus wa HIV ambae pia mpaka sasa no tishio katka maisha ya mwanadamu na ndio anayeshambulia mfumo wa ubongo wa kati (CENTRAL NERVOUS SYSTEM) ambayo inahusiana na kuamsha hisia za jicho la 3 ndio maana watu wanaopata HIV in relation to their ARV THERAPY wanaishia kupata mtindio wa ubongo kwa badae..so u can see jinsi tunavopata double impacts on this..
HIV virus ni human made virus aliyetengenezwa na Dr.CHARLES ROBERT GALLO under Rockerfeller foundation na pia wametengeneza virus aina ya ZIKA VIRUS ambaye tumeshanza kumsikia mambo yake.hii yote ni mipango yao...
H5N1 ni virus wa mafua ya ndege aliyetengenezwa under rockerfeller foundation kukaanga watu indirectly kupitia serotype antigen aina mbili ( human serotype and Birds serotype) ...
Ukifikilia sana unaweza ukatamani mungu akuchukue mapema usikumbane na haya mambo yanayoenda kutokea make watu watamkana mungu laivu na pale ndo wateule watajulikana watakaosimama imara kukemea haya yote..lakini labla hujakemea hayo yote ni HORUS EYE ndio itakayokupa uelewa zaid namna ya kuzijua hiI trick zote..
Epuka mapema kubecontrolled under microchip imlant kwan hutakuwa na uwezo wa kujikomboa ukiwa under chip controlled...
Elewa na chukua tahadhali kubwa lakini ka ukijua ni namba chache xana ya watu WATAKAOJINASAU NA MTEGO HUO...its a BATTLE BETWEEN YOU AND SATARN...
...........................................
Nimegundua Hauna jipya Km una mind maswala madogo dogo Mshana Jr huna jipyaKwa uandishi huu wa kuchanganya herufi kubwa na ndogo, tayari hili ni tatizo kubwa la kiufahanu na kielimu pia... Nina kawaida moja nikishahisi mtu ni mpumbavu halafu ni mpuuzi nakoma kufanya naye mjadala... Naomba usiwe mmojawapo la sivyo hii ni reply yangu ya mwisho kwako
Jr
Soma riwaya za Chase ndiyo utagundua hizo six Sense au j jifanye unataka kujirusha toka ghorofa za juu za twin towers!
Sent using Jamii Forums mobile app
M nawachoraga tu wengine mpaka wanajiita magreat thinker na lolote ambalo washayafanya zaidi ya kukopy na kupest mambo ya wazungu kuanzia lugha mpaka mambo mengineUchambuzi gan ujanja ujanja tu Tz Amna lolote.
Umeanza Ku C&P toka uzaliwe
Kwanzia lugha
Hadi sasa ni kuulizze umegundua nn New sasa????
Yanakua Maji ya baridi au?Imetumiwa saana na wamarekani guantanamo prison View attachment 359678