MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Yaani huyo baba flani amlishe yeye atakate na kung'aa juu alafu awe lainiiiiiii uwaachie wahuni wale agggggggggggggrrr hii haiwezekani lazima baba mwenye nyumba nianze kwanza si bora nakula chakula bora kuliko niende kuokota wa barabarani.
Atembee na wanae basi maana hata hao anawalisha na kuwavisha na kuwapendezesha.