Pains Over My Sister’s Pregnancy For My Husband…

ku do ni ku do tu haijalishi ni nani ukipandwa na minyege yako ni sawa na moto hakuna wakuuzima ni maji kama mnanifungia na mumeo ndani kila siku unategemea nikipandwa nazo nimpe nani na mwanao bado mdogo
 
Mwambie mme wake afanye taratibu amuoe tu si wamependana!
Kuna jamaa sisi bush huko kaoa mabinti wa 3 nyumba moja anamega kama hana akili nzuri.
 
Pole FL1 kwa yote yalokusibu. Huyo ma' mdogo atimuliwe, halafu peleka shauri kwa wazazi wa mmeo.
Maumivu ya moyo hayaishi, cha msingi jaribu kuyasahau kwa kuji-keep busy na shughuli zako. Usijaribu kumkomoa mmeo kwa kutafuta mwanaume mwingine!

Huyo dada asithubutu kutafuta mwanamume ili kulipiza kisasi. Itakuwa ni sawa na kumwaga petrol kwenye kibatali. Cha msingi atulie awashughulikie. Akitumia jaziba yeye ndiye atakuwa victim kwani anaweza kujikuta anawaachia nyumba. Mdogo wake atatanua na kumtesea watoto. Atulie na kutumia akili ili awashikishe adabu. Any miscalculation ataongeza majuto juu ya majuto aliyonayo sasa.
 
Mwambie mme wake afanye taratibu amuoe tu si wamependana!
Kuna jamaa sisi bush huko kaoa mabinti wa 3 nyumba moja anamega kama hana akili nzuri.

Babu yangu alioa wawili wa nyumba moja na mama zetu/wajomba walinyonya kote kote. Ila tofauti na hili, mila zilikuwa zinaruhusu na mke mkubwa ndiye alikuwa na uamuzi wa mwisho. Na hata baada ya kuoa ndugu, huyo mdogo alitakiwa kumheshimu sana dadake kwani kesi yoyote ilipopelekwa mbele ya wazee yeye ndiye alikuwa anabeba lawama kwanza. Ilikuwa ni utumwa fulani kwa mdogo mtu! Ila hii ya hawa dada itakuwa aina fulani ya movie kwani mdogo mtu tayari keshajitangazia ufalme.
 
ku do ni ku do tu haijalishi ni nani ukipandwa na minyege yako ni sawa na moto hakuna wakuuzima ni maji kama mnanifungia na mumeo ndani kila siku unategemea nikipandwa nazo nimpe nani na mwanao bado mdogo

red, you can say that again?????!!!!!!!!!!!! ama kweli we ni Vuvu-Zela lolest!!!:A S angry:

kwenye blue, kwa hiyo hata dingi yako we una do tu ilimradi umepandwa na hayo many**e yako??????
 
hivi mwanaume unajickiaje kabisa kumvua shemeji yako nguo, kweli unacmamisha? nasemaga kuna dharau lakini hii ya leo nitaiota, yewooomiii apa womi.

Sasa kama shemeji kasimama kuliko wewe kwa nn usijimegee?
Yaani namlisha home vibaka wajimegee aaah wapi labda sio mm hapo lazima kieleweke tena kwa kila mbinu na maarifa lazima nidumishe. Unakuta mtoto mwenye lainiiiiiiiiiiiiiii wesere hiloooooo dah mbona full mitego.
 
Jamani jamani wanaume muwe na huruma jamani na soni japo kidogo.... iweje muwe kula kula tu?? Yaani hamchagui na vya kula? ah mnakera sas nyie wenye tabia hiyo. Yaani ingekuwa mie ningefunga macho na ingewezekana ningeshikamana na mdogo wangu kisha kwa pamoja tunamtimua huyo mume tena kwa kumwaibisha ah. Vyangudoa nyie, wasichana wa kazi nyie, wafanyakazi wenzenu nyie bado kina Eliza wa viti virefu ah..... mtafikiri hamna utashi wa kujua lipi baya lipi zuri??? Sijui mnataka tuwe tunawafunga kamba za shingo kama mbwa?? ah wenye tabia hiyo mnakera sana.

Pole sana Mama flani huyo mwanaume ni mnyama na mdogo wako amerubuniwa tu (Unless ana umri sawa na huyo mumeo)
Ah mie nimechoka kabisa.
 
Babu yangu alioa wawili wa nyumba moja na mama zetu/wajomba walinyonya kote kote. Ila tofauti na hili, mila zilikuwa zinaruhusu na mke mkubwa ndiye alikuwa na uamuzi wa mwisho. Na hata baada ya kuoa ndugu, huyo mdogo alitakiwa kumheshimu sana dadake kwani kesi yoyote ilipopelekwa mbele ya wazee yeye ndiye alikuwa anabeba lawama kwanza. Ilikuwa ni utumwa fulani kwa mdogo mtu! Ila hii ya hawa dada itakuwa aina fulani ya movie kwani mdogo mtu tayari keshajitangazia ufalme.

Kwa wazee wa zamani hii ishu ya kuoa nyumba moja ilikuwa kawaida sana.
Au kaka ako ameoa nyumba ile na wewe unaenda kuoa ukoo huo huo ni kawaida sana.
 
kwakweli wakina mama kuna parameters ambazo technically huwa hamuziangalii IN THREE DIMENSIONS......!

unamletea mtu ''mboga'' nyumbani,tena kwenye kipindi ambacho ''una mtoto mmoja tayari...''

ndo maana mi huwa nadiskareji sana hii HOUSEGIRL MATERIAL na upuuzi wake wote...!lakini wake zetu hawaelewi!

unajua ''INFIDELITY'' is NATURALLY THERE!....
IT IS THERE TO STAY!....ukiijengea mazingira tu,kwishnehi

Halafu mboga yenyewe ni "fresh from Lake Victoria : Sato" unategemea nini?

The Following 1 User Say Thank You to Teamo For This Useful Post:

Baba_Enock (Today),
 
Wanaume wengine ni mabaladhuri kweli kweli nahci kama ningeua mtu hapo

Hahahahaha naona una hasira sana vp umesha olewa tayari?
Wanawake huwa mnachuja alafu mnazidiana kiwango achilia mbali na utundu hata ulainiiiiiiiiii
 
Wanaume wengine ni mabaladhuri kweli kweli nahci kama ningeua mtu hapo

Taratibu Egyps:

Wanaume wengi Saaaaaaaaaaaaaana wanafanya ngono na mashemeji zao: Bahati ni kuwa mimba haziingi, vinginevyo cases kama hii zingekuwa nyingi sana!
 
Jamani jamani wanaume muwe na huruma jamani na soni japo kidogo.... iweje muwe kula kula tu?? Yaani hamchagui na vya kula? ah mnakera sas nyie wenye tabia hiyo. Yaani ingekuwa mie ningefunga macho na ingewezekana ningeshikamana na mdogo wangu kisha kwa pamoja tunamtimua huyo mume tena kwa kumwaibisha ah. Vyangudoa nyie, wasichana wa kazi nyie, wafanyakazi wenzenu nyie bado kina Eliza wa viti virefu ah..... mtafikiri hamna utashi wa kujua lipi baya lipi zuri??? Sijui mnataka tuwe tunawafunga kamba za shingo kama mbwa?? ah wenye tabia hiyo mnakera sana.

Pole sana Mama flani huyo mwanaume ni mnyama na mdogo wako amerubuniwa tu (Unless ana umri sawa na huyo mumeo)
Ah mie nimechoka kabisa.

Usichoke MJ1

Wadogo zenu wa kike msiwalete kukaa nao nyumba moja! Wao ndio wanaowashawishi waume zenu na sio vice versa: Mara apitie kazini kwake; Mara amtumie sms; Mara amwombe hela ya Saluni; Mara hiki mara kile; What do you ladies expect?
 
Usichoke MJ1

Wadogo zenu wa kike msiwalete kukaa nao nyumba moja! Wao ndio wanaowashawishi waume zenu na sio vice versa: Mara apitie kazini kwake; Mara amtumie sms; Mara amwombe hela ya Saluni; Mara hiki mara kile; What do you ladies expect?
Aksante Baba_Enock nisamehe kwa kureact kwa hasira hivi ila mh..... Ni kweli mnashindwa kuwakemea? Akikutumia sms ya ajabu akikukalia vipaja nje yaani unataka kunambia ninyi ni dhaifu kiasi cha kushindwa kuishinda tamaa yako na vishawishi vyake? Mkemee shemeji yako noi sawa na mdogo wako. Hivi kweli mwanaume anawezafanya mapenzi na mdogo wake? ah (Nadhani nimeathirika kimahusiano kiasi cha kuwa unreasonable but frankly speaking nimechoka.)
 
Jamani jamani wanaume muwe na huruma jamani na soni japo kidogo.... iweje muwe kula kula tu?? Yaani hamchagui na vya kula? ah mnakera sas nyie wenye tabia hiyo. Yaani ingekuwa mie ningefunga macho na ingewezekana ningeshikamana na mdogo wangu kisha kwa pamoja tunamtimua huyo mume tena kwa kumwaibisha ah.
.

Yaani huyo baba flani amlishe yeye atakate na kung'aa juu alafu awe lainiiiiiii uwaachie wahuni wale agggggggggggggrrr hii haiwezekani lazima baba mwenye nyumba nianze kwanza si bora nakula chakula bora kuliko niende kuokota wa barabarani.
 
Kutombana wametombana wote wawili kwa ridhaa zao sasa kwa nini lawama abebeshwe mwanaume tu?
 
Back
Top Bottom