Manukato (Perfume) nzuri kwa mwanaume

Naomba kuuliza hivi hiz perfume zinazouzwa kwa mils , unakuta unaambiwa 1 million mils 50 ni 35000, hivi ziko sawa kweli na original maana wengine wanakwambia ni laki 300,000 zina utofauti gani !? Na perfume original nitapata wap

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kuuliza hivi hiz perfume zinazouzwa kwa mils , unakuta unaambiwa 1 million mils 50 ni 35000, hivi ziko sawa kweli na original maana wengine wanakwambia ni laki 300,000 zina utofauti gani !? Na perfume original nitapata wap

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamimi naona haziko sawa.Kama moja nilionunua mlimani mwanzo ukijipulizia ni very hash baada ya muda unapata harufu nzuri iliyopoa ya full bubble gum.Kwa kweli nilipendezwa nayo.Tatizo ni longitivity...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FORTALEZA
Club nuit bei yake ipoje

Sent using iPhone
Hiyoo hapo kwa Picha
Screenshot_20200120-202155.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom