Manukato (Perfume) nzuri kwa mwanaume

Kumbuka perfume nzuri ni ile inayomfanya mtumiaji kujisikia vizuri, kuongeza confidence na uchangamfu, na kusaidia kuexpress haiba na mood yake. Kwa hiyo natakiwa kuchagua the best and right one.

Mimi naomba kujua ni pafyum zipi nzuri za kiume?

Msaada tafadhari
Tumia emotion mkuu ni nzuri sana naitumia huu ni mwaka wa nane
 
fb3434973db9f7859f2e7984b1c18347.jpg
royale by rasasi 35000
598f72cd09cd1b4f7aed1861239c4325.jpg
blue by rasasi 30,000
4ef4a0a6f9ae8f0f88d55b174afe3737.jpg
ocean by lonkoom(100mls) 20,000
fedc0c70c7aebe9bc4f3392cbbe5327f.jpg
forever by lonkoom (100mls) 20,000
9ee169881b28b2aab901a95a4e53821f.jpg
sitti al habaieb (100mls)30,000/=
fb43a075d7995906f8b2b7b33a83d486.jpg
8181 men (30mls)13000/=

0626309195
 
Karibu me nauza perfume nzuri tu na Og kwa jinsia zote mbili na niko na offer ya bei kwa punguzo la bei hadi 30%.. Ukihitaji kuziona wasiliana na mimi watsapp kwa simu nambae0672416294.
 
b92d1d72fba806984cbc3a7cb5f6fe59.jpg


Kwa mwanaume perfumes hizi hapa, possess ndio kiboko kabisa. Ina harufu imetulia sio kali na haikeri wala kupalia...

Karibu tuwasiliane ukihitaji perfumes original za kike na za kiume kutoka Sweden 0672416294 au 0629273281

Sent using Jamii Forums mobile app
 
watu wengi waongo humu ndani. watakupoteza tu. wanatafuta majina ya designer mbalimbali wanajidai ndo wanatumia perfumes hizo na wakati asilimia 90 si kweli wanapotosha. we nenda duka la perfume. waambie nina tsh 50,000 naombeni mnioneshe perfume ambazo zinaenda na bei hiyo. watakuoa utajaribu utachukua unayoipenda. hapa wengi watakudanganya danganya tu hamna kitu cha maana utapata.
 
watu wengi waongo humu ndani. watakupoteza tu. wanatafuta majina ya designer mbalimbali wanajidai ndo wanatumia perfumes hizo na wakati asilimia 90 si kweli wanapotosha. we nenda duka la perfume. waambie nina tsh 50,000 naombeni mnioneshe perfume ambazo zinaenda na bei hiyo. watakuoa utajaribu utachukua unayoipenda. hapa wengi watakudanganya danganya tu hamna kitu cha maana utapata.
Wewe unatumia ipi?
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom