RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,769
Nitakuja kuangalia quality maana bei zako very reasonable.Ndio, ni hapo, karibu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakuja kuangalia quality maana bei zako very reasonable.Ndio, ni hapo, karibu sana.
Sina nia mbaya ama nia ya kukuaribia biashara.mimi ni mpenzi mzuri wa manukato.na wala sina nia ya kufanya biashara ya manukato ndugu.Tokana na mazingira niliyopo nilitaka nikutengenezee connection kubwa tokana na bei zako kuwa reasonable.pia tulitaka kuepuka usumbufu wa kuagiza watu kutoka nje ya nchi.kwa mazingira yalivyo lazima nipate walakin KIBINAADAM.Ilipo Barclays Branch iliyofungwa sipafahamu brother. Ila ni Kinondoni Road karibu na njia ya kuingilia Usalama, maeneo ya Hugo, ndio duka lilipo.
Kuhusu kwamba sina ofisi, sio kweli. Mteja alionyesha nia ya kuchukua bidhaa kwa jumla (nyingi), na kwa mazingira ya soko yalivyo recessionary kwa sasa, nikataka kama kum delivia flani, kumbe akani doubt akaona sina ofisi. Lakini nimezoea, hata kwenye website ya Amazon, Vercace, Toyota, Mercedes Benz, lazima kuna wateja wameponda na kutoa negative reviews. Ni njia mojawapo ya ku deal na ushindani vile vile. Maana hata yeye alinambia ana network kubwa ya wateja, kwa hiyo ni mshindani, si ajabu akataka kuniponda.
Na kuhusu akaunti yangu ya JF kuwa mpya. Kwa hiyo kwa mfano kama nina duka la simu, magari, nguo, perfume, na nina michango kwenye jukwaa la siasa, na jukwaa la wakubwa, nitumie akaunti hiyo hiyo moja?
Ngoja nitajaribu kuzungukia hio mitaa nione kama nitabahatisha ninayohitajiKwa Benson uhuru road...Kuna kila aina hadi Creed na the like...
Ha ha haKuruthumu inapatkana kwenye misikiti kwa nje
Duuh hii stone ageYOLANDA
Nmemunulia mzee wangu hii blue for men ameikubali kinoma.Blue For Men
Nimewahi tumia hii kitu iko poa balaa. Tatizo inaacha vitu vyeupe hasa inapokaribia kuisha. ..watu wengi tunapenda kupuliza kwenye nguo na siyo ngozi hapo ndo kunakua na ugumu wa kutumia NIVEANivea dry impact
Bro hii kitu natumia saivi iko poa kinoma...ila mi natumia designer collection, kuna mtu alinambia ni Feki. Harufu yake lazima uopoe mremboYote tisa kumi essey miyake
10,000/=sh
sh. ngap?
Ha ha ha ukiingia kwenye daladala huitwi kukaaKuruthumu inapatkana kwenye misikiti kwa nje
Bila shaka ulimaanisha NAKUMATT na AIM MALL, nashukuru ngoja ntatembelea nakumatt wikiendiNenda Najumat au Arusha Mall opposite na Nyerere building TANAPA
fighting Temptation kampuni ya Rasasi.bei 18~20
au shalis bei 20,25,30 maelewano hapo bei