jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,691
- 7,557
Sasa mbona huo Moyo wa kujiaamini aliyokujengea Padri haoneshi kwenye kifo chake!? Unalalamika Kama vile kifo ni uonevu!!Ameniuma sana, bado naona picha yake inakuja kichwani full, kipe kipindi tunakaa pamoja na kuongea mambo kadha kunifundisha na kunipa moyo na kunijengea moyo wa kujiamini katika uwezo wangu.