Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,806
- 11,968
PUMZIKA KWA AMANI MONSINYORI DEOGRATIAS HUKUMU MBIKU
Wapendwa Mapadri, Mashemasi, Watawa na taifa lote la Mungu, Kristo.
Kwa masikitiko makubwa napenda kuwataarifu juu ya kifo cha Padri wetu mpendwa Monsinyori Deogratias Hukumu Mbiku wa Jimbo Kuu la DSM, aliyekuwa Paroko wa Parokia ya Chuo Kikuu.
Monsinyori Mbiku amefariki leo tarehe 04 Aprili 2021 saa 12:45 jioni katika Hospitali ya Kardinali Rugambwa, DSM, alipokuwa akitibiwa. Taarifa zaidi juu ya taratibu za Mazishi zinapangwa na tutawataarifu.
Naomba tumuombee Pumziko la Milele Mbinguni.
ASANTENI.
+ Jude THADDAEUS Ruwa'ichi,
Askofu Mkuu wa DSM.
Wapendwa Mapadri, Mashemasi, Watawa na taifa lote la Mungu, Kristo.
Kwa masikitiko makubwa napenda kuwataarifu juu ya kifo cha Padri wetu mpendwa Monsinyori Deogratias Hukumu Mbiku wa Jimbo Kuu la DSM, aliyekuwa Paroko wa Parokia ya Chuo Kikuu.
Monsinyori Mbiku amefariki leo tarehe 04 Aprili 2021 saa 12:45 jioni katika Hospitali ya Kardinali Rugambwa, DSM, alipokuwa akitibiwa. Taarifa zaidi juu ya taratibu za Mazishi zinapangwa na tutawataarifu.
Naomba tumuombee Pumziko la Milele Mbinguni.
ASANTENI.
+ Jude THADDAEUS Ruwa'ichi,
Askofu Mkuu wa DSM.