Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,062
- 2,288
Kama ni hivyo. Sawa. Sina ubishi maana nahitaji kuelemika pia.kuanzia miaka ya 80 papa yohane paulo 2 aliweka sheria kuzuia waklero kushiriki kwenye mambo ya kisiasa.Hivyo hairuhusiwi kabsa mkuu. Rejea tukio ambalo papa alimwonya hadharani padre mmoja huko nicaragua miaka hiyo.