Bruno Toto
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 477
- 546
Soma vizuri jina la PENGO lipo hapo
Mkuu umesoma barua ipi?
Sijaona jina la Pengo hapo kwenye barua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umesoma barua ipi?
Sijaona jina la Pengo hapo kwenye barua.
Hapo barua imeandikwa ili kuweka kumbukumbu sawa,je siku akirudi akiikana barua ya kuacha Upadre huoni Askofu ataonekana alikuwa na lake jambo?Mbona barua inasema aliacha kazi kwa hiari yake mwenyewe. Habari ya kufukuzwa inakuja vipi. Mara nyingine muache kujitoa ufahamu nyie nyumbu. Hiyo kimsingi ni barua ya taarifa na kuthibitisha jamaa kuacha kazi. Pia kila mty anao uhuru wa kuishi atakavyo. Hata kadinali anaweza kuamua kubadilisha mwelekeo wa maisha yake.
Aisee sikujua kama pia wapo mapadre wa catholic, kanisa lenye heshima naye alitaka kwenda bungeni. Shame on you maccm!
Haya amefukuzwa aende vizuri huko CCM
View attachment 1523939
utashukiwa kama mwewe!Bikra Maria Awaombee? Si alishakufa
Hauko sahihi ndugu. Anabaki kuwa kardinali mpaka kifo. Nchi moja inaweza kuwa na makardinali zaidi ya mmoja. Italia inao labda zaidi ya 50. Brazil inao wengi pia nk. pia kuna nchi haxzina kardinali hata mmoja.Tanzania haina Kadinali bado. Ruwaichi ni Askofu mkuu. Pia bado Pengo hajaagwa kwa misa takatifu!
Kitu kama haukijui KAA KIMYA, ukiwa Askofu mkuu Jimbo la Dar es salaam SIO LAZIMA UWE KADINALI, kwani huyo Askofu Mkuu wa sasa ni Cardinal? Mbona Baba mtakatifu amemteua kuwa Askofu mkuu Jimbo la Dar? Sio lazima awe Cardinal ila lazima awe Askofu, japo hao waliopita walikua ma CardinalUkiwa askofu mkuu wa jimbo katoliki dar lazima uwe cardinal refer kwa cardinal aliyepita kabla ya pengo
Yeah umewaza tofauti sana mkuu!Unaweza kuta alikuwa TISS sasa ametafuta mlango wa kutokea.
Hawezi sababu yeye ndo analimiliki hilo kanisa lakeJe, tapeli gwajima atajifukuza mwenyewe?
pengo huenda nae ni mwanachamaAisee sikujua kama pia wapo mapadre wa catholic, kanisa lenye heshima naye alitaka kwenda bungeni. Shame on you maccm!
Haya amefukuzwa aende vizuri huko CCM
View attachment 1523939
Kuongezea hapo, ni kwamba si lazima awe Kardinali, na wala si lazima Tanzania au kila nchi iwe na Kardinali, na si lazima nchi moja itoe Kardinali mmoja tuRuwaichi bado hajawa Cardinal
Mkuu ukisha kuwa kiongozi au mtumishi wa kidini huwezi tena kuishi vile utakavyo..!!Mbona barua inasema aliacha kazi kwa hiari yake mwenyewe. Habari ya kufukuzwa inakuja vipi. Mara nyingine muache kujitoa ufahamu nyie nyumbu. Hiyo kimsingi ni barua ya taarifa na kuthibitisha jamaa kuacha kazi. Pia kila mty anao uhuru wa kuishi atakavyo. Hata kadinali anaweza kuamua kubadilisha mwelekeo wa maisha yake.
Ruachi ni askofu Mkuu sio cardinalHii barua ni ya uongo cardinal pengo Alisha staafu kwa Sasa cardinali ni Rwaichi Kama sijakosea
Acha upotoshaji, hajachaguliwa Cardinal wa kuziba nafasi ya Pengo, hivyo bado anaendelea. Alistaafu Uaskofu tu!Hii barua ni ya uongo cardinal pengo Alisha staafu kwa Sasa cardinali ni Rwaichi Kama sijakosea
Mbona unaleta mambo ya miaka ambayo wengi humu walikuwa hawajazaliwa? Askofu amenukuu kanisa na canon law inayozuia mtiwa mafuta wa Bwana kushika nafasi ya kisiasa. Ina maana huo msitari kwenye barua hukuuona?Ukisoma barua vizuri kulichomsimamisha sio kwenda kugombea. Ni kutoka kituoni kwake bila ruhusa. Na hilo ni kosa kubwa kwa maadili ya kipadre.
Kuna mapadri wamewahi kuwa viongozi sehemu mbalimbali hapa.nchini na duniani lakini hawakusimamishwa.
Padri Kiwanga miaka wa 70 alikuwa mbunge Dodoma na akaendelea kuhudumia kanisani. Maelezo ya kwenda kugombea ni ya nyingeza tu
Miaka ya 80 mwishoni kuna padri alikuwa dean wa faculty pale UDSM na alikuwa anasoma misa kama kawaida.
Kuna mapdri walimu wengi tu vyuoni na mashuleni.
Suala ni uombe kwa askofu wako na akukubalie.
Huyu alitoka kwenye kituo chake cha kazi, hilo halikubaliki kabisa.
Kwahiyo huyo ruwaichi anakaimu?Tanzania haina Kadinali bado. Ruwaichi ni Askofu mkuu. Pia bado Pengo hajaagwa kwa misa takatifu!