Hiyo barua hapo ujaiona au?barua kaandikiwa pengoMkuu umesoma barua ipi?
Sijaona jina la Pengo hapo kwenye barua.
Ataandikiwaje pengo ikiwa Alisha staafu na kwa Sasa cardinali ni Rwaichi,hiyo barua nibya uongoSoma tarehe. Kitu kimevuja leo
Nimeona mkuu wangu.Hiyo barua hapo ujaiona au?barua kaandikiwa pengo
Asante kwa ufafanuziTanzania haina Kadinali bado. Ruwaichi ni Askofu mkuu. Pia bado Pengo hajaagwa kwa misa takatifu!
Siyo kweli cardinal Tanzania ni Pengo peke yake. Ruwa'ichi ni Askofu Mkuu wa Dsm kwa sasaHii barua ni ya uongo cardinal pengo Alisha staafu kwa Sasa cardinali ni Rwaichi Kama sijakosea
Mkuu, kwa itifaki za kanisa kile ni cheo chake na atakufa nacho. Papa alipostaafu aliendelea kuwa na hadhi ya upapa isipokuwa tu hafanyi misa takatifu. Kumu address Pengo wala hakuna shida.Nimeona mkuu wangu.
Ahsante kwa kunistua.
Kasisi hata angegombea kupitia Chadema angesimamishwa tu. Hawaruhusiwi kabisa kuwa wanasiasa na hata Magufuli akisimama pale madhabahuni hawezi kamwe kutoa maamuzi ya kiuongozi akiwa pale zaidi ya kuongea tu kama muumini wa kawaida.Msigwa akigombea ubunge kupitia CHADEMA hakuna shida lakini kasisi wa katoliki akigombea ubunge hasa kupitia CCM ni tatizo kubwa.
Huyo kasisi kaandika barua ya kuomba kuachana n kutoa huduma kama kasisi kisha kaenda kugombea hii haina tofauti na alivyofanya Dr. Wilbroad Slaa.
Siyo habari ya kushika akili za watu majukwaani.
Hii barua ni ya uongo cardinal pengo Alisha staafu kwa Sasa cardinali ni Rwaichi Kama sijakosea
Nisaidie pengo hapo ameingiaje?Aisee sikujua kama pia wapo mapadre wa catholic, kanisa lenye heshima naye alitaka kwenda bungeni. Shame on you maccm!
Haya amefukuzwa aende vizuri huko CCM
View attachment 1523939
Lini imetangazwa kwamba Kadinai ni Rwaichi?Hii barua ni ya uongo cardinal pengo Alisha staafu kwa Sasa cardinali ni Rwaichi Kama sijakosea
Hakujibiwa hiyo barua, maana Askofu pengine alihitaji kumsikia vizuri hoja zake katika mazungumzo. Lakini kwa kuwa kugombea nafasi za kisiasa ni jambo la hadharani, hilo ndilo limemfanya Askofu aandike barua ya kumsimamisha huduma, maana lipodhahiri zaidi kuliko barua ya PadreMbona barua inasema aliacha kazi kwa hiari yake mwenyewe. Habari ya kufukuzwa inakuja vipi. Mara nyingine muache kujitoa ufahamu nyie nyumbu. Hiyo kimsingi ni barua ya taarifa na kuthibitisha jamaa kuacha kazi. Pia kila mty anao uhuru wa kuishi atakavyo. Hata kadinali anaweza kuamua kubadilisha mwelekeo wa maisha yake.
Ni KardinaliNisaidie pengo hapo ameingiaje?
Nani kamwambia Rwaichi ni Cardinal ?Hii barua ni ya uongo cardinal pengo Alisha staafu kwa Sasa cardinali ni Rwaichi Kama sijakosea