Mjamaa1
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,294
- 5,465
Ukiwa askofu mkuu wa jimbo katoliki dar lazima uwe cardinal refer kwa cardinal aliyepita kabla ya pengo
Ficha ujinga wako .
Ukiwa askofu mkuu wa jimbo katoliki dar lazima uwe cardinal refer kwa cardinal aliyepita kabla ya pengo
Hiyo ni sala ya kikatoliki, haikuhusu. Shika imani yako.Bikra Maria Awaombee? Si alishakufa
Hii barua ni ya uongo cardinal pengo Alisha staafu kwa Sasa cardinali ni Rwaichi Kama sijakosea
[/QUOTERuwaichi siyo cardinal ni Askofu mkuu wa Jimbo kuu la DaM,cardinal ni pengo amestaafu majukumua ya uaskofu lakini siyo u cardinal
Upo sahihi hata mkeo ukimkuta na bwana mwingine unatimua pale paleBiblia inasema wazi huwezi kutumikia MABWANA wawili
Huyo si wa kwanza. Unamkumbuka Padri Supa, Dodoma huko Ovada?Yaani Padre wa RC anaomba ubunge?!?! Duh...
Asante kwa kunikumbusha kuhusu huyo padri wa UDSM, Rev Fr Dr Daniel Mkude, alinifundisha mlimani miaka hiyo. Baadaye alipanda vyeo vya kitaaluma hadi akawa profesa na amefundisha linguistics kwa miaka mingi Mlimani.Ukisoma barua vizuri kulichomsimamisha sio kwenda kugombea. Ni kutoka kituoni kwake bila ruhusa. Na hilo ni kosa kubwa kwa maadili ya kipadre.
Kuna mapadri wamewahi kuwa viongozi sehemu mbalimbali hapa.nchini na duniani lakini hawakusimamishwa.
Padri Kiwanga miaka wa 70 alikuwa mbunge Dodoma na akaendelea kuhudumia kanisani. Maelezo ya kwenda kugombea ni ya nyingeza tu
Miaka ya 80 mwishoni kuna padri alikuwa dean wa faculty pale UDSM na alikuwa anasoma misa kama kawaida.
Kuna mapdri walimu wengi tu vyuoni na mashuleni.
Suala ni uombe kwa askofu wako na akukubalie.
Huyu alitoka kwenye kituo chake cha kazi, hilo halikubaliki kabisa.
Aisee sikujua kama pia wapo mapadre wa catholic, kanisa lenye heshima naye alitaka kwenda bungeni. Shame on you maccm!
Haya amefukuzwa aende vizuri huko CCM.
Ndiyo, hiyo iko katika mamlaka yake ya upadre ambayo ni ya kudumu.Kwahiyo Pengo sasa hivi anaweza kusamehe dhambi?
Watu hawajui hilo.Siyo kweli cardinal Tanzania ni Pengo peke yake. Ruwa'ichi ni Askofu Mkuu wa Dsm kwa sasa
Huyo atakuja katukuminato hivyo hajui.Siyo kweli cardinal Tanzania ni Pengo peke yake. Ruwa'ichi ni Askofu Mkuu wa Dsm kwa sasa
Huelewi chochote kuhusu kanuni na taratibu za Kanisa. Rwaichi siyo kadinali.Hii barua ni ya uongo cardinal pengo Alisha staafu kwa Sasa cardinali ni Rwaichi Kama sijakosea
Kwanza hakuna sheria inayosema kila nchi ni lazima iwe na kadinali. Rugambwa miaka ya mwanzoni alikuwa kadinali pekee kutoka bara la Afrika. Kadinali ni mjumbe wa baraza la Papa, wala hawakilishi nchi. Ndiyo maana makadinali wote ni raia wa Vatican.Tanzania haina Kadinali bado. Ruwaichi ni Askofu mkuu. Pia bado Pengo hajaagwa kwa misa takatifu!
Inawezekana kuna kitu unakikosa katika uelewa. Ukweli ni kuwa:Ukisoma barua vizuri kulichomsimamisha sio kwenda kugombea. Ni kutoka kituoni kwake bila ruhusa. Na hilo ni kosa kubwa kwa maadili ya kipadre.
Kuna mapadri wamewahi kuwa viongozi sehemu mbalimbali hapa.nchini na duniani lakini hawakusimamishwa.
Padri Kiwanga miaka wa 70 alikuwa mbunge Dodoma na akaendelea kuhudumia kanisani. Maelezo ya kwenda kugombea ni ya nyingeza tu
Miaka ya 80 mwishoni kuna padri alikuwa dean wa faculty pale UDSM na alikuwa anasoma misa kama kawaida.
Kuna mapdri walimu wengi tu vyuoni na mashuleni.
Suala ni uombe kwa askofu wako na akukubalie.
Huyu alitoka kwenye kituo chake cha kazi, hilo halikubaliki kabisa.
Naamini unatania. Hauko seriousHii barua ni ya uongo cardinal pengo Alisha staafu kwa Sasa cardinali ni Rwaichi Kama sijakosea
Haya ndo makanisa ya kitapeli....Unaweza kujifukuza ndani kwako? Gwaji boy kanisa ni mali yake
Aibu na laana sn kufanya utapeli wa dini namna hii.....Huyo ni mungu wa dini yake
Huu ndo upumbavu wa watz...... Mtu anamiliki kanisa yy binafsi alafu unamfuata??!!Hawezi sababu yeye ndo analimiliki hilo kanisa lake
Yy mwenyewe ndio hiyo mamlaka so he is untouchableHahaha mamlaka yake ya uteuzi inaanzia wapi? Tuanzie hapo kwanza