Padri Shewiyo alikua kanisa ka Msimbazi. Amefariki mchana huu hapa Bochi Hospitali .
====
TANZIA: Mkuu wa Shirika la Ndugu Wafransisko Wakapuchini Tanzania, Padre, Kalist Tesha, anatangaza kifo cha Padre Paul Ignas Shewiyo, kilichotokea Alhamisi ya tarehe 04/02/2021 majira ya saa nane na nusu mchana. Mipango ya Mazishi inaendelea.
Habari ziwafikie:.
1. Ndugu Wafransisko Wakapuchini popote walipo
2. Askofu Mkuu Yuda Thaddaeus Ruwaichi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Maaskofu, Mapadre, Watawa wa kike na Kiume na Waumini wote
3. Ndugu wa Marehemu wa Padre Paul Ignas Shewiyo, Jamaa na Marafiki popote walipo.
Raha ya Milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani Amina.
====
TANZIA: Mkuu wa Shirika la Ndugu Wafransisko Wakapuchini Tanzania, Padre, Kalist Tesha, anatangaza kifo cha Padre Paul Ignas Shewiyo, kilichotokea Alhamisi ya tarehe 04/02/2021 majira ya saa nane na nusu mchana. Mipango ya Mazishi inaendelea.
Habari ziwafikie:.
1. Ndugu Wafransisko Wakapuchini popote walipo
2. Askofu Mkuu Yuda Thaddaeus Ruwaichi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Maaskofu, Mapadre, Watawa wa kike na Kiume na Waumini wote
3. Ndugu wa Marehemu wa Padre Paul Ignas Shewiyo, Jamaa na Marafiki popote walipo.
Raha ya Milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani Amina.