Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,018
- 26,328
HahahahajHalafu unakuta kuna mtu ana diploma ya wanyamapori anatishia wenzake
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
HahahahajHalafu unakuta kuna mtu ana diploma ya wanyamapori anatishia wenzake
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
A real soldier akose utamu? Unadhani huko sudani alikuwa anajichua?
Huyu ni mwamba...heshima kwake.Father Dkt. Henry Rumisho (PhD) Ni Komandoo Wa JWTZ, Padre Wa Kanisa Katoliki, Lecturer Wa Ardhi Uni Na Architect. Hapa Henry Yuko Kwenye Graduation Yake Ardhi University Ambapo Ametunukiwa PhD In Architecture.
Mapadri Ambao Ni Wanajeshi Hujulikana Kama "Military Ordinariate" View attachment 2033021
Upi tena??Tatizo anakosa utamu
Usichoke Mkuu.Kanisa katolic kiboko huyu anajulikana wasiojulikana nawanafanya kazi na serikali ya ccm wangapi kwakweli nimechoka
Kwamba ni wajeda mkuu?Taasisi karibu zote za kidini..na hata hao walokole....sijui manabii na mitume..bakw'ta nk.. viongozi wao ni wale jamaa...
Ni kwa vile watu hawajui Hilo!
Hujaelewa "wale jamaa"
Sijaelewa mkuuHujaelewa "wale jamaa"
Nadhani anayaweayote katika yeye amtiae nguvuAachane na upadre ili afanye kazi yake vizuri kama mwanasayansi. Atuonyeshe vinavyoonekana kuliko mambo ya rohoni.
Jidanganye mkuu tunalea watoto wa mapadre huku mtaani kimyakimya. Moja ya maagizo ya kwanza kabisa ya Mungu ilikuwa ni zaeni mkaongezeke. sasa mapadre wao ni akina nani hata wasitii agizo hilo?
Sawa mkuuUsishuhudie uwongo
Mapendo..Karibu kanisa katoliki...