Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,871
Nani aliyokufundisha kuinywa viroba wewe kama si ccmNyie Kanisani kwenu si mnafundishwa ufisadi kama viongozi wenu kina Askofu Kilaini mafisadi nyie wafuasi mtakuaje.
Nani aliyokufundisha kuinywa viroba wewe kama si ccmNyie Kanisani kwenu si mnafundishwa ufisadi kama viongozi wenu kina Askofu Kilaini mafisadi nyie wafuasi mtakuaje.
Mjinga sana huyu Padre,sasa si aseme tuchague chamagani!au tuchague chama cha padre mwenzake yule MZIZI slaa?MAPADRE na MAASKOFU wa RC walisababisha MAUWAJI ya KIMBARI kule RWANDA.tuwe makini.
Mwambie Padre Mapunda amwambie Padre mwenzake Slaa aache kupora wake za watu.mbona nyie mnafundishana ugaidi misikitini mwenu je ni jambo geni kwako au Fr mapunda kuongoza waumini wake sehem mahala salama kwako ni kero? amani ya bwana iwe nawe
Nashangaa mijitu hala inashadadia ooh namfahamu huyo padre toka so n so... Kazi ya padre ni kuhubiri mambo ya mungu au habari za siasa. Ya kaisari amwachie kaisari
hivi katika misikiti unafundishwa mambo ya roho na mwili au ni mambo ya ahera tu.
Mwambie Padre Mapunda amwambie Padre mwenzake Slaa aache kupora wake za watu.
Mwambie Padre Mapunda amwambie Padre mwenzake Slaa aache kupora wake za watu.
Mkeo ameporwa na Dr. Slaa? Fafanua ili tufahamu.
Padre Slaa.Nani aliyokufundisha kuinywa viroba wewe kama si ccm
Nashangaa mijitu hala inashadadia ooh namfahamu huyo padre toka so n so... Kazi ya padre ni kuhubiri mambo ya mungu au habari za siasa. Ya kaisari amwachie kaisari
Quran imeingiaje tena Chadema bana, hivi Waislam waliwakosea nini?Riz, ni aya gani ile kwenye Quran inayozui kutukana, usije ukatukaniwa mtume/Mungu wako? Unaona maneno yako ya kijinga yanavyosababisha Rais wetu kudhalilishwa?
Bavicha kama kawaida yao wameanza hoja zao.na umwambie babako kiwete ache kuiba wake za watu tezi dume litarudi tena
Quran imeingiaje tena Chadema bana, hivi Waislam waliwakosea nini?
Bavicha kama kawaida yao wameanza hoja zao.
Teh teh teh
Wapi nimetukana? Kusema Slaa kapora mke wa mtu ni tusi au Slaa katelekeza familia yake ni tusi? Kamkataze Rose Kamili aliofungua kesi mahakamani.Usikwepeshe ukweli na kuwaingiza Waislam wote kwa tatizo lako binafsi. Nilikuwa nakukumbusha, maana waislam najua wamekatazwa kutukana maana ukifanya hiyo incitation unajenga mazingira ya mpinzani wako kuwatukana hata wazazi na viongozi wako. Wewe umeanza kwa kumdhihaki na kumtusi Dr. Slaa, matokeo yake umewafanya watu wamtukane kiongozi mkuu wa CCM ambaye pia ni Rais.
Kuwa muumini mwema na wala usiende kinyume na mafundisho ya imani yako. Heshimu watu, nawe na ndugu zako na viongozi wako wataheshimiwa.