Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
Haya makanisa ndio yalianzisha chokochoko Rwanda watu wakauana kwa mamilioni.
Wewe Zoba, kwani Watutsi na Wahutu ni madhehebun ya kidini? Ungetolea mfano Uamsho wa Zanzibar walivyochoma makanisa na kufakamia Kili za kwenye baa, tungekuelewa. Nasikia hata nyama ya kiti moto zilizokuwa bar zililiwa!