Mavi hao hawana loloteNdiyo waliosoma UDSM wanatupigia kelel hapa kuwa Wamesoma chuo bora..
.???????????????????????????
Samahani kwa kutumia neno wapuuzi, linaudhi lakini ni kweli kwamba wanaotuletea shida ni graduate wa UD. Nakuomba nawe usijidanganye kwamba hakilingani na chuo kingine EA, kwa lipi? Vyuo vikuu hupata sifa siyo kwa kufundisha kwa miaka mingi au kufundisha watu wengi, NOO! Je, wamefanya tafiti zozote za maana? Ugunduzi wowote wa maana? Uvumbuzi wowote wa maana? Najua utajibu NOOO! Nini cha kujivunia baada ya miaka 50?Unakosea kuita graduate wapuuzi; nafikiri huwezi linganisha nachuo chochote EA.
Aksante
SeenIna maana hiyo namba 3 na 5 ndo kwenye mtego au?
Alafu tunalalamika Trump akituambia ukweli japo unaumahii ndiyo nchi yetu MZUNGU anakuja na wazo anakopa pesa kwenye banks zetu anasema yeye ni mwekezaji anapiga pesa anasepa anatuachia makovu tunaanza kulalama.
Mie kibongo bongo mtu akinitajia wasomi najua ni wasoma magazeti tuu..Wasomi wetu hawajawahi kuisaidia nchi hii kila anayepewa nafasi anaiba kadiri awezavyo kuanzia raisi hadi vijitaasisi, na mambo makuu kwao ni kujenga nyumba, kununua gari na kuanzisha vijimiradi nakuiacha taasisi nyingi za umma zikifilisika au kurudi nyuma..."wakati mwingine bora bashite"
Nafikiri nimuhimu sana tukiangalia namna bora mitaala yetu itakavyo badilishwa nakutuandalia wasomi wafia nchi. Ila bado kila ninapowaza juu ya elimu namwona mwalimu aliye na maslahi duni kubebeshwa jukumu la kuandaa taifa bora
Watanzania mmejaa njaa na majungu, uwekezaji wa mlimani siyo hela,, ni technology, management, transfer of skills etc. Hela sii unakopa benki, na kwa uchumi Mzuri unakopa hapa hapa kuendeleza mzunguko wa pesa. Hamtaki, wapeni waswahili waendeshe kama mavi hayakujaa hadi mlangoni , punguzeni majunguKwa hivo mlitaka abebe dola nyingi ili akamatiwe Uwanja wa Ndege? A
Kawezeke basi iyo laki 5Hata Mimi namzidi Nina kamtaji ka laki 5 hii nji ina vituko sana.
Mwaka wa pili hakuna mtu aliyefungwa watu wanaozea rumande na kizuizini, utashangaa wote watatoka eti nimewasamehe au ushahidi hakuna. Justice delayed is justice deniedKugundua uozo ni jambo moja kuushughulikia ni jambo jingine. hapo sasa!!!
Na uchunguzi wa boti la bagamoyo to Dar uanzeHuu ni upumbavu kabisa, Rais Tunakuomba uwadhughulikie wote bila kujali ni kina nani, wamechukua ardhi kubwa mno ingeweza kufanya mambo mengine ya kiacademia..
Isitoshe Udsm ni kitovu cha wasomi nchini, hivyo likifanyika kosa linadhalilisha wasomi wote nchini, tunakuomba Rais uwanyooshe wahusika wote