TTCL ina deni la bilioni 403 ilhali mtaji bilioni 243

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,441
7,780
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imesema Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limelemewa na deni la Sh403 bilioni ilhali mtaji ilionao ni wa Sh243.

Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Japhet Hasunga amesema hayo jana Jumatano Oktoba 20, 2021 baada ya kuipitia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2019/20 ambapo amesema wamebaini kuna viashiria katika Shirika hilo kutofanya vizuri kwakuwa lina mtaji hasi wa Sh132 bilioni na madeni makubwa kuliko mtaji wake.

“Hicho ni kiashiria kuwa bado shirika haliendi vizuri. Shirika letu linalipa hadi kodi lakini mapato yao hayajaingizwa katika vitabu vyao,” amesema Hasunga.

=====

Pamoja na nia njema ya JPM, mashirika ya umma yamekuwa yanakula pato la Taifa bila kuleta tija. Tubaki na Tanesco yenye maslahi mapana ya Taifa, haya mengine tukihitaji uzalendo tuwape wafanyabiashara wazawa wajaribu bahati yao.

TTCL ndio ina mkongo wa Taifa wa Data, pamoja na advantage hiyo kibiashara wameshindwa kabisa kutawala soko la internet, yaani mwingine ananunua kutoka kwao halafu anawagaragaza sokoni, tumeshindwa.
 
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imesema Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limelemewa na deni la Sh403 bilioni ilhali mtaji ilionao ni wa Sh243.

Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Japhet Hasunga amesema hayo jana Jumatano Oktoba 20, 2021 baada ya kuipitia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2019/20 ambapo amesema wamebaini kuna viashiria katika Shirika hilo kutofanya vizuri kwakuwa lina mtaji hasi wa Sh132 bilioni na madeni makubwa kuliko mtaji wake.

“Hicho ni kiashiria kuwa bado shirika haliendi vizuri. Shirika letu linalipa hadi kodi lakini mapato yao hayajaingizwa katika vitabu vyao,” amesema Hasunga.
Shirika linaendeshwa kihasara kwa maslahi ya Mani haswa
 
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imesema Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limelemewa na deni la Sh403 bilioni ilhali mtaji ilionao ni wa Sh243.
Shida ni rushwa na 10% tu ndio zinadhoofisha shirika! Watoe wazee humo ndani watuingize dam changa tuje kufanya mabadiliko!

TTCL ina advantage kubwa sana sokoni ila tatizo ni Management ya kipuuzi! Mkurugenzi ana share Vodacom au Tigo na still pia ana kimango anapokea kila mwezi toka Tigo, Voda na Halotel unategemea awa favour TTCL kwa kipi hasa!?

Tutaendelea kulia lia na haya mashirika ila chanzo ni ufisadi na rushwa!
 
Shida ni rushwa na 10% tu ndio zinadhoofisha shirika! Watoe wazee humo ndani watuingize dam changa tuje kufanya mabadiliko!

TTCL ina advantage kubwa sana sokoni ila tatizo ni Management ya kipuuzi! Mkurugenzi ana share Vodacom au Tigo na still pia ana kimango anapokea kila mwezi toka Tigo, Voda na Halotel unategemea awa favour TTCL kwa kipi hasa!?

Tutaendelea kulia lia na haya mashirika ila chanzo ni ufisadi na rushwa!
Hakuna ubuni ndani ya TTCL ni mazoea kwa kwenda mbele
 
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imesema Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limelemewa na deni la Sh403 bilioni ilhali mtaji ilionao ni wa Sh243.

Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Japhet Hasunga amesema hayo jana Jumatano Oktoba 20, 2021 baada ya kuipitia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2019/20 ambapo amesema wamebaini kuna viashiria katika Shirika hilo kutofanya vizuri kwakuwa lina mtaji hasi wa Sh132 bilioni na madeni makubwa kuliko mtaji wake.

“Hicho ni kiashiria kuwa bado shirika haliendi vizuri. Shirika letu linalipa hadi kodi lakini mapato yao hayajaingizwa katika vitabu vyao,” amesema Hasunga.

=====

Pamoja na nia njema ya JPM, mashirika ya umma yamekuwa yanakula pato la Taifa bila kuleta tija. Tubaki na Tanesco yenye maslahi mapana ya Taifa, haya mengine tukihitaji uzalendo tuwape wafanyabiashara wazawa wajaribu bahati yao.

TTCL ndio ina mkongo wa Taifa wa Data, pamoja na advantage hiyo kibiashara wameshindwa kabisa kutawala soko la internet, yaani mwingine ananunua kutoka kwao halafu anawagaragaza sokoni, tumeshindwa.
Deni la TTCL ni kutokana na mtaji unaolifanya shirika liwe la kisasa. Hao wabunge walikua wapi kulilia Celtel wamalize deni lao la dola milioni 55?
net debt ya TTCL ni ~bilion 130, huu ujanja ujanja ni kutaka kuligawa shirika kwa kampuni binafsi. Acheni watu wafanye kazi jamani. Tunajua wabunge wanahisa kwenye kampuni za simu hasa Vodacom Tanzania, na uwepo wa TTCL ni mwiba kwa Vodacom hasa kwenye tenda za mawasiliano za serikali. TTCL inapata tenda zote za serikali zinazohusu mawasiliano.
Hujuma kwa TTCL ni kwasababu ya ulafi wa wanasiasa.
Mwaka 2015, ripoti ya habari leo yenye kichwa cha habari TTCL yafilisika
ilionesha wazi jinsi shirika hili linavyohujumiwa na kampuni binafsi za mawasiliano.
 
We unahisi uhuni uko wapi, Kipindi kile cha mwendazake au sasa?

Uhuni bado upo tu, kipindi kile na sasa hakuna tofauti ki uhalisia. Sema kwa sasa hata huyo mwenyekiti wa Kamati anaweza kusema wazi. Kipindi kile hata taarifa ingeweza kufanywa ni siri.

Kama unataka kujua uhuni bado upo, niambie hii statement ina maana gani?

“Hicho ni kiashiria kuwa bado shirika haliendi vizuri. Shirika letu linalipa hadi kodi lakini mapato yao hayajaingizwa katika vitabu vyao,” amesema Hasunga.
 
Uhuni bado upo tu, kipindi kile na sasa hakuna tofauti ki uhalisia. Sema kwa sasa hata huyo mwenyekiti wa Kamati anaweza kusema wazi. Kipindi kile hata taarifa ingeweza kufanya ni siri.

Kama unataka kujua uhuni bado upo, niambie hii statement ina maana gani?

“Hicho ni kiashiria kuwa bado shirika haliendi vizuri. Shirika letu linalipa hadi kodi lakini mapato yao hayajaingizwa katika vitabu vyao,” amesema Hasunga.
Mkuu nawewe unaamini hiyo report ya PAC?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom