Utata bado upo bungeni,jibu halisi pesa za escrow ni za umma au iptl bado kizungumtuti,kila mmoja ana tafsiri kivyake. sababu inanifanya niamini imeshindwa kazi:-
1. Kwa nini haimkurudishia CAG ripoti iweke wazi pesa ni za nani,sio inaonyesha ni za umma,aseme direct za umma.
2. Imeelezea kuchukuliwa pesa benki moja tu ya Mkombozi,vipi wa Stanbic inafichwa?
1. Kwa nini haimkurudishia CAG ripoti iweke wazi pesa ni za nani,sio inaonyesha ni za umma,aseme direct za umma.
2. Imeelezea kuchukuliwa pesa benki moja tu ya Mkombozi,vipi wa Stanbic inafichwa?