huyu jamaa alikuwa anachukua nyimbo za ma underground na kuwapa tmk alikuwa anazarau sana na studio yaki ya mawazo yupo wapi huyu mtu ?
Kaka yako au shemegi yako
pfunk was and is the best producer in tanzania sema media zimeamua mpoteza
pfunk was and is the best producer in tanzania sema media zimeamua mpoteza
iz id zinazofanana shida kweli kumbe ni p frank ! Mi mwenyewe nilifikili yule jamaa anayechoraga ramani zisizoeleweka mwili mzima.
mkuu unaweza ukakuta ni p funk ndo anamuulizia ila kwakuwa muanzisha thread mjini bado mgeni jina linampa tabu!!!!hamna mkali anayeitwa p frank labda mpiga ngoma huko kwao manerumango!!!