Kisali.TechnitianJr.
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 592
- 182
mkuu inafuatana na gari, inaweza kuwa taa inawaka ila imekueleza bila kificho kuwa O/D OFF apo imezima, ila kwa gari inayoandika O/D bila ya kuongeza neno iyo ndo ina nature ya ukiweka O/D mwanga ukatokea uje iko on, ikiibonyeza mwanga ukazima ujue iko off.
taja gari ambayo iko hivyo mkuu......