Depretty
JF-Expert Member
- Jun 14, 2013
- 248
- 96
Naomba kujuzwa zaid kuliko nijuavyo kuhusu hicho kipindi katika mambo ya uzazi hyo OVULATION (sjui nimepatia kwenye kuandika)na hyo Fertility window ni kipindi gani na kipi kinaanza na huwa kinamaana gani ?naomba ufafanuzi wa kina ili niweze kuelewa zaidi.
shukran
shukran