Outside their Classroom ? in this era and age ? no, cant be true but then thanx to CCM !

Na sisi watu wa mjini tunakosea pale tunapodhani tunjua sana matatizo ya jamii nyingine. Ukienda ukauliza walimu na watoto wa hiyo hapo shida zao kutokana vipaumbele vyao nini watakwambia kwanza vitabu. walimu na zana na kujifunza. hilo darasa labda ni kero kipindi cha masika tu.

Inabidi tujue kufanya prority maana siku zote. Usije kuwa waziri ukasihi kujenga shule za matofali ndani wanafuzi hawana nyenzo. Tutazame vya muhimu.

unataka darasa lipendeze kuliko nyumba.

Inawezekana wanafunzi wa sehemu fulani kwao hata kukaaa chini sio issue.


Mfano Kabla ya kujenga darasa zuri inabidi mwalimu awe na sehemu nzuri ya kulala
 
j4marunda;1857629]I?think sometimes we should like down the people around! before blame government what is the role of wananchi there


Nakubaliana kabisa na wewe,elewa pia kuwa hao watu hawajitambui kwahiyo ni lazima awepo mtambuzi wa kuwasaidia. Wamasai wana ng'ombe wengi lakini hawakujua wafanye nini na ng'ombe zao hadi serikali ilipoanza kuwajengea malambo ya maji na shule za bweni, siku hizi wanajua dawa za mifugo na wanajua daktari wa mifugo, wanapeleka watoto shule. Hawakuanza kama miujiza kulikuwa na 'stimuli' na sasa wanaendelea wenyewe.

QUOTE=Zing;1857772]Na sisi watu wa mjini tunakosea pale tunapodhani tunjua sana matatizo ya jamii nyingine. Ukienda ukauliza walimu na watoto wa hiyo hapo shida zao kutokana vipaumbele vyao nini watakwambia kwanza vitabu. walimu na zana na kujifunza. hilo darasa labda ni kero kipindi cha masika tu.

Sio masika hata upepeo ukivuma ni tatizo na sijui kama wataweza kurudi shule kwa term nzima, sasa kazi ni kuwafundisha majumbani. Uwezekano wa kugongwa na nyoka ni asilimia 90%, sio hatari hiyo?
Mwalimu akipangwa kufundisha shule hiyo nakuhakikishia hatarudi, lakini hata kama ni vitabu wataviweka wapi? na kama hiyo ni shule, nyumba ya mwalimu ikoje?

Inabidi tujue kufanya prority maana siku zote. Usije kuwa waziri ukasihi kujenga shule za matofali ndani wanafuzi hawana nyenzo. Tutazame vya muhimu.unataka darasa lipendeze kuliko nyumba.

Kweli kabisa na hapa ndipo kitu kinachoitwa vision and plan kinapoingia. Kazi hiyo ukiwaachia wanakijiji mhh naogopa, wanaweza kukuambia kipaumbele ni wavulana kwenda kuwinda na mabitnti kuolewa!!! vision na plan ndiyo kazi ya seriakali baada ya kushauriana na wanakijiji.

Inawezekana wanafunzi wa sehemu fulani kwao hata kukaaa chini sio issue.
Kukaa kwenye madawati ndio mwanzo wa kuwaonyesha kuwa upo mbadala mzuri. Mazingira mazuri ni 'inspirational' kubwa sana. Wanafunzi wa shule hufanya ziara viwandani au maofisini si kwasababu ya kuwafanya waelewe kazi za viwandani bali wawe 'inspired'. Kwa hawa wasioweza kufika mjini shule nzuri ni inspirational ya waliopo na wajao. Shule za nyasi tuna wa 'inspire' warudi nyuma.
 
I don't see anything wrong in those pictures. The kids appear to be happy which suggests to me that they are content with what they have.

Things have always been like that. Who among us hasn't seen something like that before? So nothing surprises me and nothing shocks me. In short, there is nothing wrong in those pictures.

Aahahahahahahahahahaaaaaaa you totally, completely, and thoroughly missed the point. Poor thing....

Some people failed to detect the whiff of sarcasm in what I wrote above.

Maybe the problem is with ur writing. It does not express a 'whiff of sarcasm' as you claim hence the responses!!
 
I don't see anything wrong in those pictures. The kids appear to be happy which suggests to me that they are content with what they have.

Things have always been like that. Who among us hasn't seen something like that before? So nothing surprises me and nothing shocks me. In short, there is nothing wrong in those pictures.

Aahahahahahahahahahaaaaaaa you totally, completely, and thoroughly missed the point. Poor thing....

Some people failed to detect the whiff of sarcasm in what I wrote above.

Obviously you don't know much about my writing style and where I stand on this issue.

who are you for me to know ur writing style? do u actually have a writing style? if you think commenting regularly in JF gives an identified writing style then that says a lot abt u...
 
Back
Top Bottom