jameeyla
Senior Member
- Aug 12, 2011
- 119
- 29
hivi umewahi kukwama kwenye mojawapo za elevator ambazo zinamilikwa na OTIS halafu ukapiga simu yao??shughuli inakuwaje katika kuja kutolewa humo ndani,,,mimi nafikiri pia serikali iangalie majengo ambayo yameweka huduma hizi kwani kuna matukio mengi ya hatari ambayo taarifa ama hazifiki katika vyombo husika,,haswa katika majengo ya kuishi watu hapo kariakoo..