Othman Rashid na IGP Mwema Wanastahili Nafasi zao Kweli?

buluwaya

JF-Expert Member
Feb 15, 2013
207
45
Mi naomba tupunguze hasira watanzania wenzangu juwajadili watu hawa wawili wenye dhamana ya ulinzi na usalama NDANI ya nchi yetu: Mkurugenzi wa TISS Othman Rashid na IGP Said Mwema.

Badala ya kujadili visasi, mi naomba tujadili kwa nini hawa watu wasifukuzwe kazi zao kwa maandamano nchi nzima na migomo ya kazi za kiserikali na za watu binafsi. Aliyewaandika kazi keshaambiwa awafukuze kazi watu hawa mara nyingi lakini maneno hayo anayapuuza ndiyo maana bado wapo kazini hadi leo pamoja na kushindwa kwao kazi.

Hawa watanzania wawili Mkurugenzi wa TISS Othman Rashid na IGP Said Mwema hawafai hata kuongoza ki-SME cha watu watano. Wanafanya nini katika kazi kubwa walizopewa na Rais Kikwete?

Ndugu zangu mi naomba tujadili kuwaondoa hawa watu katika nafasi zao; tena sio kesho, bali leo....
 

Najua ni topic ngumu lakini hebu tujipe nguvu tuijadili. Hawa watu hawafai.... Kwanini tuweke rehani maisha yetu kwa kukubali watu wabovu kushikilia nyadhfa ambazo hawaziwezi?
 
Mi naomba tupunguze hasira watanzania wenzangu juwajadili watu hawa wawili wenye dhamana ya ulinzi na usalama NDANI ya nchi yetu: Mkurugenzi wa TISS Othman Rashid na IGP Said Mwema.

Badala ya kujadili visasi, mi naomba tujadili kwa nini hawa watu wasifukuzwe kazi zao kwa maandamano nchi nzima na migomo ya kazi za kiserikali na za watu binafsi. Aliyewaandika kazi keshaambiwa awafukuze kazi watu hawa mara nyingi lakini maneno hayo anayapuuza ndiyo maana bado wapo kazini hadi leo pamoja na kushindwa kwao kazi.

Hawa watanzania wawili Mkurugenzi wa TISS Othman Rashid na IGP Said Mwema hawafai hata kuongoza ki-SME cha watu watano. Wanafanya nini katika kazi kubwa walizopewa na Rais Kikwete?

Ndugu zangu mi naomba tujadili kuwaondoa hawa watu katika nafasi zao; tena sio kesho, bali leo....

Hata tufanyeje, Kikwette hawezi kuwafukuza kazi hawa watu. Sasa basi wananchi mtu ambae wananchi tunaweza kumfuta kazi ni Raisi pamoja na chama chake...raisi ina wezakana kwa sababu waliomuweka pale ni wananchi na wenye mamlaka ya kumuondoa kwa sababu bila shaka ameonyesha kupwaya sana katika kiti chake......
 
Hata tufanyeje, Kikwette hawezi kuwafukuza kazi hawa watu. Sasa basi wananchi mtu ambae wananchi tunaweza kumfuta kazi ni Raisi pamoja na chama chake...raisi ina wezakana kwa sababu waliomuweka pale ni wananchi na wenye mamlaka ya kumuondoa kwa sababu bila shaka ameonyesha kupwaya sana katika kiti chake......

Wazo lako ni zuri, lakini linatupatia Long term solution. Ujue kutoka 2013 hadi Uchaguzi unakamilika 2015 ni miaka miwili na nusu ipo mbele yetu. Hebu niambie watu wangapi wamepoteza maish Arusha, Lindi, Mtwara, Iringa, Zanzibar, Geita na kwingineko ndani ya mwaka mmoja tu uliopita. Ni wengi.

Kuchukua hatua katika short term kabla ya uchaguzi mkuu ni muhimu sana ndugu yangu. Tumlazimishe rais kuweka watu competent kwenye hizi nafasi mbili leo. Sio Kesho. Hili ni short term solution. Long term solution nakubaliana nawe ni kuiodnoa CCM madarakani.

Tuanze na hili la kuwafukuza kazi Mkurugenzi wa TISS Othman Rashid na IGP Said Mwema.
 
Wazo lako ni zuri, lakini linatupatia Long term solution. Ujue kutoka 2013 hadi Uchaguzi unakamilika 2015 ni miaka miwili na nusu ipo mbele yetu. Hebu niambie watu wangapi wamepoteza maish Arusha, Lindi, Mtwara, Iringa, Zanzibar, Geita na kwingineko ndani ya mwaka mmoja tu uliopita. Ni wengi.

Kuchukua hatua katika short term kabla ya uchaguzi mkuu ni muhimu sana ndugu yangu. Tumlazimishe rais kuweka watu competent kwenye hizi nafasi mbili leo. Sio Kesho. Hili ni short term solution. Long term solution nakubaliana nawe ni kuiodnoa CCM madarakani.

Tuanze na hili la kuwafukuza kazi Mkurugenzi wa TISS Othman Rashid na IGP Said Mwema.

We nawe raisi yupi wa kumlazimisha!? JK hana HISIA!!
Nchi yetu ilipo fika nikuomba Mungu tu....haiwezi kuja na jambo lenye akili tena! Cha maana tuhamasishane (bila wana CCM)wananchi wote tutulie maana lengo lao ni kutudhuru, tuhakikishe kila mtu anakuwa na hasira ya ndani kwa CCM na viongozi wake kwani ndio wanaotoa vingozi wabovu wasio weza kuchukua hatua na wanaohujumu watanzania wenzao..
Then mwaka 2015 hata waibeje kura....! labda wabadilishe matokeo....lakni hata wakifanya hivyo itawasaidia nini kuwaongoza watu wasio wataka..!?
 
Ama kweli ombwe la kiuongozi linazidi kujidhihirisha nchini mwe2
 
We nawe raisi yupi wa kumlazimisha!? JK hana HISIA!!
Nchi yetu ilipo fika nikuomba Mungu tu....haiwezi kuja na jambo lenye akili tena! Cha maana tuhamasishane (bila wana CCM)wananchi wote tutulie maana lengo lao ni kutudhuru, tuhakikishe kila mtu anakuwa na hasira ya ndani kwa CCM na viongozi wake kwani ndio wanaotoa vingozi wabovu wasio weza kuchukua hatua na wanaohujumu watanzania wenzao..
Then mwaka 2015 hata waibeje kura....! labda wabadilishe matokeo....lakni hata wakifanya hivyo itawasaidia nini kuwaongoza watu wasio wataka..!?

Una huruma kwa Mkurugenzi wa TISS Othman Rashid na IGP Said Mwema ndugu yangu. Mimi sina hata chembe ya huruma kwa hawa watu kwa sababu wao pia hawana huruma kwa raia wa nchi hii. Tukiondoa woga tunaweza kumlazimisha Kikwete kuwafukuza kazi hawa watu. Hebu tujaribu japo siku moja tu kugoma kufanya kazi kila mahali iwe ni meseji tunatuma. Mgomo unaondoa nafasi ya mabomuya machozi. Utafuatwa kwako na mabomu ya machozi? Huwezi.... lakini meseji itaenda.
 
hapa wa kuondoa madarakani ni huyo aliyewaweka coz yeye ndiye aliyeshindwa zaidi kuliko hao unaowataja.tatizo hata wale wa chini yake wanamdharau na mbaya zaidi hawana imani naye tena.amepoteza mamlaka na wanasubiri tu amalize muda wake awapishe.ana maadui ambao ameshindwa kuwadhibiti na sasa anachofanya ni bora liende.tutakwisha hadi hiyo 2015.
 
Huku ni kukosa hoja kama ungeniambia kuwa aliyesema ataenda ikulu hata kwa kumwaga damu akamatwe ningekuelewa.
 
hapa wa kuondoa madarakani ni huyo aliyewaweka coz yeye ndiye aliyeshindwa zaidi kuliko hao unaowataja.tatizo hata wale wa chini yake wanamdharau na mbaya zaidi hawana imani naye tena.amepoteza mamlaka na wanasubiri tu amalize muda wake awapishe.ana maadui ambao ameshindwa kuwadhibiti na sasa anachofanya ni bora liende.tutakwisha hadi hiyo 2015.


ee mungu tusaidie!
 
hapa wa kuondoa madarakani ni huyo aliyewaweka coz yeye ndiye aliyeshindwa zaidi kuliko hao unaowataja.tatizo hata wale wa chini yake wanamdharau na mbaya zaidi hawana imani naye tena.amepoteza mamlaka na wanasubiri tu amalize muda wake awapishe.ana maadui ambao ameshindwa kuwadhibiti na sasa anachofanya ni bora liende.tutakwisha hadi hiyo 2015.
Tutakuwa watu wa maana kweli kama tutajadili pande zote kunamtu aliwahi kusema nchi haitatawalika huyu unamweka kundi gani katika kuadhibu watu.
 
Arusha wameifanya kama ukumbi wa mziki kila leo mandamano wakiguswa na polisi mnasema wanaonewa watu wa kupewa adhabu katika masuala haya ni lema na kundi lake la kiharifu wala siyo kumkimbilia igp.
 
Una huruma kwa Mkurugenzi wa TISS Othman Rashid na IGP Said Mwema ndugu yangu. Mimi sina hata chembe ya huruma kwa hawa watu kwa sababu wao pia hawana huruma kwa raia wa nchi hii. Tukiondoa woga tunaweza kumlazimisha Kikwete kuwafukuza kazi hawa watu. Hebu tujaribu japo siku moja tu kugoma kufanya kazi kila mahali iwe ni meseji tunatuma. Mgomo unaondoa nafasi ya mabomuya machozi. Utafuatwa kwako na mabomu ya machozi? Huwezi.... lakini meseji itaenda.

Unashindwaje kunielewa!!
 
Tutakuwa watu wa maana kweli kama tutajadili pande zote kunamtu aliwahi kusema nchi haitatawalika huyu unamweka kundi gani katika kuadhibu watu.

Mimi nikuwa mtu wa kwanza kusema Tanzania haitatawalika baada ya JK dhaifu kushinda uraisi 2005....unaniweka katika kundi gani?

Sumaye aliesema anayeingia ikulu kwa kutumia kalamu kuchafua wenzie akifika ikulu atatumia Risasi..unamuweka katika kundi gani?
 
Una huruma kwa Mkurugenzi wa TISS Othman Rashid na IGP Said Mwema ndugu yangu. Mimi sina hata chembe ya huruma kwa hawa watu kwa sababu wao pia hawana huruma kwa raia wa nchi hii. Tukiondoa woga tunaweza kumlazimisha Kikwete kuwafukuza kazi hawa watu. Hebu tujaribu japo siku moja tu kugoma kufanya kazi kila mahali iwe ni meseji tunatuma. Mgomo unaondoa nafasi ya mabomuya machozi. Utafuatwa kwako na mabomu ya machozi? Huwezi.... lakini meseji itaenda.
Kwani wao ndiyo wanaopanga mauaji unaleta mawazo gani hayo watu wamepanga kwenda ikulu kwa nguvu hata ukimuondoa igp kama hawajafika ikulu wataendelea kuuwatu mpaka wafike ikulu kama jeshi la polisi wanataka kutuliza amani ya taifa ni kumtengeneza slaa na lema na nchi kesho yake tu inatulia.
 
Mimi nikuwa mtu wa kwanza kusema Tanzania haitatawalika baada ya JK dhaifu kushinda uraisi 2005....unaniweka katika kundi gani?

Sumaye aliesema anayeingia ikulu kwa kutumia kalamu kuchafua wenzie akifika ikulu atatumia Risasi..unamuweka katika kundi gani?
Wewe, sumaye na yule ambaye hujamtaja mnastahili chuma cha shaba kwa sababu ni wahaini wala hampaswi kuangaliwa usoni,chuma cha shaba ndicho kinawafaa hakuna zaidi.
 
Bado hujanishawishi ndugu hata ukiwekwa wewe IGP au mkurugenzi wa TISS kwa system iliyopo bado utaonekana hufanyi kazi.

The system...katiba kwanza mengine baadaye.

Lets put a pilot to our governance.
 
Back
Top Bottom