carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
Bana usilete issue zilizopitwa na wakati-Hawa watu si ndugu bana, mmoja ame-originate Arusha na mwingine Tanga-so toa habari yako ya kizushi
Acha ubishi kaka, i can assure you hawa watu ni ndugu wa mjomba na shangazi, yaani ni ma cousins. ambaye hataaki kuamini aache lakini habari ndo hiyo. na juzi huyo judge mkuu alikuwa tanga kwao hapo chumbageni sijui kutambika au kutoa sadaka, i dunno, ila usiku kucha hajalala na police wamekesha wakilinda nyumba ambayo hayumo lol. kumbe hata wasomi wana vituko hivi.