Kukiwa na malalamiko kuwa uteuzi wa Jaji Mkuu Othman Chande haukuzingatia taratibu na heshima za mahakama yaani uhodari wa Jaji na seniority, huku pia kukiwa na madai kuwa uteuzi huo ulishinikizwa na kigezo cha DINI, taarifa za ndani zinaonyesha kuwa Jaji Othman wana undugu wa karibu sana na Bosi wa Usalama wa Taifa Othman. Kumbuka Usalama wa Taifa ndio hupendekeza majina na kutoa maoni kabla ya uteuzi, hali hii inaonyesha kuwepo mazingira ya kubebwa kwa Jaji Othman na nduguye Othman wa Usalama ili kufanikisha mpango wa watu hao wawili kushika vitengo viwili muhimu nchini. Wanajamvi nashusha hizi leaks za Tanzania ili muanze kuchangia.