Othman bosi wa usalama wa taifa na jaji mkuu othman chande ni ndugu

Status
Not open for further replies.

TANleaks

Member
Dec 22, 2010
24
0
Kukiwa na malalamiko kuwa uteuzi wa Jaji Mkuu Othman Chande haukuzingatia taratibu na heshima za mahakama yaani uhodari wa Jaji na seniority, huku pia kukiwa na madai kuwa uteuzi huo ulishinikizwa na kigezo cha DINI, taarifa za ndani zinaonyesha kuwa Jaji Othman wana undugu wa karibu sana na Bosi wa Usalama wa Taifa Othman. Kumbuka Usalama wa Taifa ndio hupendekeza majina na kutoa maoni kabla ya uteuzi, hali hii inaonyesha kuwepo mazingira ya kubebwa kwa Jaji Othman na nduguye Othman wa Usalama ili kufanikisha mpango wa watu hao wawili kushika vitengo viwili muhimu nchini. Wanajamvi nashusha hizi leaks za Tanzania ili muanze kuchangia.
 
Kukiwa na malalamiko kuwa uteuzi wa Jaji Mkuu Othman Chande haukuzingatia taratibu na heshima za mahakama yaani uhodari wa Jaji na seniority, huku pia kukiwa na madai kuwa uteuzi huo ulishinikizwa na kigezo cha DINI, taarifa za ndani zinaonyesha kuwa Jaji Othman wana undugu wa karibu sana na Bosi wa Usalama wa Taifa Othman. Kumbuka Usalama wa Taifa ndio hupendekeza majina na kutoa maoni kabla ya uteuzi, hali hii inaonyesha kuwepo mazingira ya kubebwa kwa Jaji Othman na nduguye Othman wa Usalama ili kufanikisha mpango wa watu hao wawili kushika vitengo viwili muhimu nchini. Wanajamvi nashusha hizi leaks za Tanzania ili muanze kuchangia.

I think hii issue ilishaletwa na Mkuu Fareed... Watu tukachangia mpaka tukapata headache...... Search Thread ya Uteuzi wa Huyu bwana by Fareed
 
hivi kwann udini unaonekana tu pale mwislamu anapoteuliwa kushika nyadhifa kubwa na hauonekani wakati mkristu akiteuliwa, lazima ufike wakati watuy tubadilike kifikra na kuwaangalia watu kwa merit zao.....!
 
Kukiwa na malalamiko kuwa uteuzi wa Jaji Mkuu Othman Chande haukuzingatia taratibu na heshima za mahakama yaani uhodari wa Jaji na seniority, huku pia kukiwa na madai kuwa uteuzi huo ulishinikizwa na kigezo cha DINI, taarifa za ndani zinaonyesha kuwa Jaji Othman wana undugu wa karibu sana na Bosi wa Usalama wa Taifa Othman. Kumbuka Usalama wa Taifa ndio hupendekeza majina na kutoa maoni kabla ya uteuzi, hali hii inaonyesha kuwepo mazingira ya kubebwa kwa Jaji Othman na nduguye Othman wa Usalama ili kufanikisha mpango wa watu hao wawili kushika vitengo viwili muhimu nchini. Wanajamvi nashusha hizi leaks za Tanzania ili muanze kuchangia.

Kumbeeee, basi hafai huyo! tupe hizo habari zako motomoto za kiintelijensia, halafu wee bwana mkali kweli kwa kufukuwa habari, duuhhh, yaani hapa hawa jamaa, wanatufanya wote hatuna akili, kumbe tuna mtu hapa kichwa kweli kweli, endelea kutupa vitu Mkuu.

Wewe bwana au bibi, jina limekusuit kweli kwa hizi habari za ndaaaani kabisa ulizotupa.
 
Kukiwa na malalamiko kuwa uteuzi wa Jaji Mkuu Othman Chande haukuzingatia taratibu na heshima za mahakama yaani uhodari wa Jaji na seniority, huku pia kukiwa na madai kuwa uteuzi huo ulishinikizwa na kigezo cha DINI, taarifa za ndani zinaonyesha kuwa Jaji Othman wana undugu wa karibu sana na Bosi wa Usalama wa Taifa Othman. Kumbuka Usalama wa Taifa ndio hupendekeza majina na kutoa maoni kabla ya uteuzi, hali hii inaonyesha kuwepo mazingira ya kubebwa kwa Jaji Othman na nduguye Othman wa Usalama ili kufanikisha mpango wa watu hao wawili kushika vitengo viwili muhimu nchini. Wanajamvi nashusha hizi leaks za Tanzania ili muanze kuchangia.

Bana usilete issue zilizopitwa na wakati-Hawa watu si ndugu bana, mmoja ame-originate Arusha na mwingine Tanga-so toa habari yako ya kizushi
 
hivi kwann udini unaonekana tu pale mwislamu anapoteuliwa kushika nyadhifa kubwa na hauonekani wakati mkristu akiteuliwa, lazima ufike wakati watuy tubadilike kifikra na kuwaangalia watu kwa merit zao.....!
Du kaka.... yaani post yako ya kwanza tu inahusu dini?????

Lakini yote Kheri karibu Jamvini:peace:
 
hivi kwann udini unaonekana tu pale mwislamu anapoteuliwa kushika nyadhifa kubwa na hauonekani wakati mkristu akiteuliwa, lazima ufike wakati watuy tubadilike kifikra na kuwaangalia watu kwa merit zao.....!

wapi mchakamchaka original wewe ni namba2
 
SIdhani kama la undugu ndio ilikua issue kutokana na watu wa ndani ya mchakato huo kudhibitisha kwamba raisi alipelekewa "mafaili" ya majaji watatu ambao ndio wana qualify kwenye hiyo nafasi lakini yeye alijibu "kipindi hiki wakristo wasahau" ndio ukaanza mchakato wa kumtafuta muislam ambaye anaqualify. Majina ya hao majaji watatu waliokua wanatajwa mwanzo yalipatikana kutoka kikao cha majaji kilichofanyika Ngurdoto, baada ya kuambiwa na jaji mkuu wapige kura za siri nani awe jaji mkuu. Yalivyofika kwa Kikwete walikataliwa kwaajili ya dini. So hilo liko wazi sio undugu ulio-influence hii issue.

Kukiwa na malalamiko kuwa uteuzi wa Jaji Mkuu Othman Chande haukuzingatia taratibu na heshima za mahakama yaani uhodari wa Jaji na seniority, huku pia kukiwa na madai kuwa uteuzi huo ulishinikizwa na kigezo cha DINI, taarifa za ndani zinaonyesha kuwa Jaji Othman wana undugu wa karibu sana na Bosi wa Usalama wa Taifa Othman. Kumbuka Usalama wa Taifa ndio hupendekeza majina na kutoa maoni kabla ya uteuzi, hali hii inaonyesha kuwepo mazingira ya kubebwa kwa Jaji Othman na nduguye Othman wa Usalama ili kufanikisha mpango wa watu hao wawili kushika vitengo viwili muhimu nchini. Wanajamvi nashusha hizi leaks za Tanzania ili muanze kuchangia.
 
SIdhani kama la undugu ndio ilikua issue kutokana na watu wa ndani ya mchakato huo kudhibitisha kwamba raisi alipelekewa "mafaili" ya majaji watatu ambao ndio wana qualify kwenye hiyo nafasi lakini yeye alijibu "kipindi hiki wakristo wasahau" ndio ukaanza mchakato wa kumtafuta muislam ambaye anaqualify. Majina ya hao majaji watatu waliokua wanatajwa mwanzo yalipatikana kutoka kikao cha majaji kilichofanyika Ngurdoto, baada ya kuambiwa na jaji mkuu wapige kura za siri nani awe jaji mkuu. Yalivyofika kwa Kikwete walikataliwa kwaajili ya dini. So hilo liko wazi sio undugu ulio-influence hii issue.
Source please
 
Samahani mkuu itakua ngumu kukueleza kwa undani (jina etc) la Jaji aliyenipa hiyo dokezo nisije nikaharibu kazi za watu. By the way hii inajulikana sana na watu wa mahakama ya rufaa na mahakama kuu kama una mtu unamfahamu anaweza kukueleza what happened kwenye mchakato mzima.
Ps. Unaweza pia kuongea na watu waliokuwa karibu na mstaafu jaji mkuu watakuambia maana nasikia baada ya kustaafu wanasema mengi hawaogopi tena.

Source please
 
Kukiwa na malalamiko kuwa uteuzi wa Jaji Mkuu Othman Chande haukuzingatia taratibu na heshima za mahakama yaani uhodari wa Jaji na seniority, huku pia kukiwa na madai kuwa uteuzi huo ulishinikizwa na kigezo cha DINI, taarifa za ndani zinaonyesha kuwa Jaji Othman wana undugu wa karibu sana na Bosi wa Usalama wa Taifa Othman. Kumbuka Usalama wa Taifa ndio hupendekeza majina na kutoa maoni kabla ya uteuzi, hali hii inaonyesha kuwepo mazingira ya kubebwa kwa Jaji Othman na nduguye Othman wa Usalama ili kufanikisha mpango wa watu hao wawili kushika vitengo viwili muhimu nchini. Wanajamvi nashusha hizi leaks za Tanzania ili muanze kuchangia.
WEWE u mdini kwelikweli, mbona toka uhuru hiyo nafasi wanabadilishana tu wakiristo kama "kigango" na waislam hawajawahi kulalamika. Ndugu zangu mukianza hizo ?! Kumbuka post zote kuu wamehodhi wakristo ila waslam wapo kimya. Msifukue moto uliopoa.
 
Kukiwa na malalamiko kuwa uteuzi wa Jaji Mkuu Othman Chande haukuzingatia taratibu na heshima za mahakama yaani uhodari wa Jaji na seniority, huku pia kukiwa na madai kuwa uteuzi huo ulishinikizwa na kigezo cha DINI, taarifa za ndani zinaonyesha kuwa Jaji Othman wana undugu wa karibu sana na Bosi wa Usalama wa Taifa Othman. Kumbuka Usalama wa Taifa ndio hupendekeza majina na kutoa maoni kabla ya uteuzi, hali hii inaonyesha kuwepo mazingira ya kubebwa kwa Jaji Othman na nduguye Othman wa Usalama ili kufanikisha mpango wa watu hao wawili kushika vitengo viwili muhimu nchini. Wanajamvi nashusha hizi leaks za Tanzania ili muanze kuchangia.

Maada kama hii ililetwa hata kabla ya confirmation ya CJ, wakati huo kulikuwa na majina matatu yaliyopelekwa kwa Rais Kikwete na watu wakajua kaka wa mkuu wa usalama ndiye atakuwa CJ
 
mmmh sasa sijui tanzania ni nchi ya itikadi gani maana mambo si mambo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom