Simba hajala hela ya gsm na hataki kula. TFF ndio akaolewe huko coz amekula vya watuSasa sijui baba ni TFF au Simba au Yanga, maana GSM amelipa pesa kote huko.
Mi wakati mwingine, huwa naona analeta UTANI WA KITOTO sana!Sema huyu jamaa njia aliyochagua ni nzuri, hana upande leo anakukera yanga kesho simba
Yes,Mi wakati mwingine, huwa naona analeta UTANI WA KITOTO sana!
Acha amwage hela.Sasa sijui baba ni TFF au Simba au Yanga, maana GSM amelipa pesa kote huko.
Mpira pesa Ndugu yangu.Dirisha Dogo anamleta Chama Yanga na kwa mechi ya Jmosi amewahaidi wachezaji wa Yanga kama watashinda watakula mpunga mrefu haijawahi kutokea Tanzania. Goli moja kwa bila mil 500,Goli 2 kwa bila Bil 1,Goli 3 kwa bila Bil 1.5 yani kila Goli mil 500. Kazi ipo yani Nyama pori ataliwa na kutafunwatafunwa mpaka Mifupa.Nawaonea huruma sana kwani historia inakwenda kuwekwa Jmosi.Acha amwage hela.
Zi zinawasha.
Ila ubingwa NI wa simba
Labda chama cha mapinduzi. Manara hakukosea, wenye akili utopolo ni JK na Baba yake.Mpira pesa Ndugu yangu.Dirisha Dogo anamleta Chama Yanga na kwa mechi ya Jmosi amewahaidi wachezaji wa Yanga kama watashinda watakula mpunga mrefu haijawahi kutokea Tanzania. Goli moja kwa bila mil 500,Goli 2 kwa bila Bil 1,Goli 3 kwa bila Bil 1.5 yani kila Goli mil 500. Kazi ipo yani Nyama pori ataliwa na kutafunwatafunwa mpaka Mifupa.Nawaonea huruma sana kwani historia inakwenda kuwekwa Jmosi.
Labda chama Cha MAPINDUZIMpira pesa Ndugu yangu.Dirisha Dogo anamleta Chama Yanga na kwa mechi ya Jmosi amewahaidi wachezaji wa Yanga kama watashinda watakula mpunga mrefu haijawahi kutokea Tanzania. Goli moja kwa bila mil 500,Goli 2 kwa bila Bil 1,Goli 3 kwa bila Bil 1.5 yani kila Goli mil 500. Kazi ipo yani Nyama pori ataliwa na kutafunwatafunwa mpaka Mifupa.Nawaonea huruma sana kwani historia inakwenda kuwekwa Jmosi.
yaani na wewe umekuwa zumbekuku kuamini Chama anakuja yangaMpira pesa Ndugu yangu.Dirisha Dogo anamleta Chama Yanga na kwa mechi ya Jmosi amewahaidi wachezaji wa Yanga kama watashinda watakula mpunga mrefu haijawahi kutokea Tanzania. Goli moja kwa bila mil 500,Goli 2 kwa bila Bil 1,Goli 3 kwa bila Bil 1.5 yani kila Goli mil 500. Kazi ipo yani Nyama pori ataliwa na kutafunwatafunwa mpaka Mifupa.Nawaonea huruma sana kwani historia inakwenda kuwekwa Jmosi.