Orodha ya World Bank 2022 ya low income countries, Tanzania imesahaulika? Kwenye middle income countries haipo

Katika pekua pekua zangu, inaelekea kuwa Benki ya Dunia imesahau kuiweka Tanzania kwenye orodha ya low income countries. Yaani kwenye low income countries duniani hatuonekani na huko kwenye middle income countries nako hatuko. Sasa tutakuwa tuko wapi duniani? Mwenye kulijua hili atujuze.

---
What is a low-income country? According to the World Bank, low-income countries are nations that have a per capita gross national income (GNI) of less than $1,026.

GNI per capita (formerly GNP per capita) is the dollar value of a country's final income divided by its population. Its income is the sum of value added by all resident producers and product taxes not included in the output valuation plus net receipts of primary income from abroad. The numbers provided on this page are GNI per capita converted to current U.S. dollars using the World Bank Atlas method divided by the mid-year population. GNI is converted to U.S. dollars at official exchange rates for comparisons across economies. The Atlas method applies a conversion factor that averages the exchange rate for a given year and the two preceding years adjusted for differences in inflation between the country and the Euro area, Japan, the United Kingdom, and the United States.

The World Bank classifies countries into several categories. Originally, there were three categories: high-income countries, middle-income countries, and low-income countries. The high-income group has the highest income globally, with a GNI per capita of at least $12,476. The upper-middle-income group has per capita incomes between $4,038 and $12,475. The lower-middle-income nations have GNI per capita of $1,026 to $4,035. Finally, low-income countries have GNI per capita of $1,025 or less.

Low-income countries are often synonymous with underdeveloped countries, also known as developing countries, emerging markets, or newly industrialized countries. These counties receive development aid, which is financial aid given by governments or agencies to boost and support the economic, political, social, and environmental development in other countries. Bilateral aid is given directly from the donor country to another, and multilateral aid is given to an international organization that distributes aid to developing countries. World Bank and United Nations agencies such as UNICEF are examples of organizations that are involved in development aid.

Low-income countries face struggles relating to a poor economy. Issues related to poor economic health include below-average life expectancy, high infant mortality rates, poor educational outcomes, degrading infrastructure, environmental and climate conditions, and poor health outcomes. These low-income countries suffer high rates of illnesses and infections due to lack of clean water, low sanitation levels, malnutrition, and lack of access to quality medical care.

Most countries' numbers in the table below are from 2019, except Somalia (1990), Yemen (2018), and Eritrea (2011). There are currently 24 countries in the low-income country category. Somalia is at the bottom of the low-income country list, with a GNI per capita of $130.

View attachment 2177829


View attachment 2177831
Je Tanzania ni Nchi ?
 
Haki na nani WATZ tuko juu juu zaidi. Mtu Kauliza tuko wapi kwa mwaka huu, majibu yanaletwa ya Mwaka Jana!!!!. Hivyo hivyo ndivyo mnapowaokota wa kule kwetu selamagazi, hatujui ya Jana wala ya Leo. Si ajabu tukakuambia Raisi wa Sasa ni Kikwete. Hongera sana CCM kwa upotosjaji.
Waka nawe umekurupuka kwa uwezo wa Dr Akili na kukwepua kwake huko si angejibu tu kwa staha?

Kwanza kwa Daktari Akili ameandika nini huko juu kingreza kitupu.

Hi mada ya kujenga taharuki. Kwani baada ya hayo juu watakuja kuanza ni kwanini imekuwa hivyo kama inaukweli wowote. Na kama kawa wataanza na makombora yao kwa mtu badala ya ilani ya CCM
WANANCHI, mchukue tahadhari na hawa. Mtawajua tu ka matusi ya kejeli uzandiki

na kudumaza.
 
Dr. Akili
Naomba kujua hiyo ripoti inamkwamua vipi mkulima wa bagamoyo msoga?
 
Sisi tunapika data awamu za nyuma
Baada ya kifo cha magufuli, wezi wa awamu za nyuma wamerudi kwa nguvu mpya. Pesa sasa inachotwa kupitia miradi bandia na mikopo tunaitiwa badala ya kuomba. Wewe uliona wapi mtu anitwa na kuambiwa njoo nikukopesha. Tukisikia hivyo tunakimbia. Sasa hivi tunaelemewa na mikopo, maana kodi sasa hazikusanywi vilivyo. Kila mfanyabiashara anakimbilia vibali vya misamaha ya kodi. Walipa kodi wamebaki ni wafanyakazi na maskini wanaotumiwa vijisenti kwa mimla na kujikuta zaidi ya robo zimefyeka na Mama Tozo. Na sasa hivi kila kitu Mama Tozo ni kumuongelea Magufuli. Mama Tzo kuwa raisi na jijengee heshima kwa kusimamia nchi. Huwezi kumlaumu Malocks siku zote. Hii ni mara ya kwanza kuona raisi alieipeleka nchi katika uchumi wa kati, na sasa tumeshuka, sijui utamlaumu nani. Achana na Msoga gang. Hao hawana huruma na nchi, na ujuwe wanakuharibia wewe, maana waliiacha nchi ikiwa taabani. Baada ya nchi kuanza kupona dakatri kaondoka na baada ya genge la Msoga kurudi uchumi umedidimia na kurudi pale ulipokuwa.
 
Thibitisha kuwa taarifa niliyoiweka ni ya mwaka jana. Kumbe vita ya ujinga bado mbichi sana Tanzania. Mama ongeza kasi ya ujenzi wa madarasa tatizo ni kubwa kuliko unavyodhani.
Kama ulikuwa hujui report zote za zinapoandaliwa ina maana ni kwa mwaka ulioisha. Huwezi ukatoa taarifa ya mwaka ambao hujumaliza... mf tuzo za TMA ni za mwaka 2021 lkn tukio limefanyika 2022. Kama hujui jambo uliza
 
Report ya middle income countries hiyo hapo
Asante kwa kutuletea hii taarifa ya World Bank ya mwaka 2022. Kumbe Tanzania pamoja na Ukraine bado ni Middle Income Country (MIC). Sasa ni nani alimdanganya rais wetu kwamba tumeondolewa kwenye MICs? Waziri wa fedha na uchumi, Mh Mwiguru Nchemba anapaswa kuwajibishwa / kutumbuliwa kwa kushindwa (incompetancy) kumsaidia vizuri rais wetu. Ingalifaa akajiuzuru kama alivyofanya Job Ndungai kwa kosa linalofanana na hili.

Hili ni kosa kubwa sana wizara ya fedha imefanya. Limesababisha taharuki kwenye jamii ya watanzania na kuwafanya wafikiri serikali yao imeshindwa kusimamia vizuri uchumi wa nchi wakati si kweli. Uchumi wetu bado ni imara wa kiwango cha kati na ifikapo 2025 utakuwa ya viwanda (industrialized country). Changamoto zinazojitokeza kukwamisha azima hii hususani zile za nishati ya umeme na mafuta, zinashughulikiwa kikamilifu.
 
Kama ulikuwa hujui report zote za zinapoandaliwa ina maana ni kwa mwaka ulioisha. Huwezi ukatoa taarifa ya mwaka ambao hujumaliza... mf tuzo za TMA ni za mwaka 2021 lkn tukio limefanyika 2022. Kama hujui jambo uliza
Leta uthibitisho wako kuwa mwaka huu 2022 hatupo tena kwenye lower-middle income countries listy. Acha mbwembwe aisee.
 
There is no GNI for 2022 for any country in world. The data takes time. Latest that exist for anyone is 2020. All that say 2022, as linked few post above, are only estimates using available data and a type of calculation called the "Atlas Method" that the world bank (and governments like European Union) use to find GNI. It is better to use accurate data for the "official" and see estimates as only estimates (appropriate caution taken).
 
Hii dunia hutakiwi kuumiza sana kichwa; muhimu ni kuangalia mahitaji yako ya msingi
 
Back
Top Bottom