Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Wanabodi,
Kwa mujibu wa Katiba yetu ya mwaka 1977, kuna ngazi ama level ya Uongozi ukishaifikia basi wewe utaendelea kuishi kwa gharama za serikali maisha yako yote hapa duniani (mpaka ufe).
1. Rais Mstaafu
2. Makamu wa Rais Mstaafu
3. Waziri Mkuu Mstaafu
4. Spika wa Bunge Mtaafu
5. Jaji Mkuu Mstaafu
6. Mkuu wa Jeshi la Wananchi Mstaafu (CDF)
7. Mkuu wa Jeshi la Polisi Mstaafu (IGP)
8. Mwanasheria Mkuu Mstaafu (AG)
Kuna sijui Majaji , Mabalozi, Makamishina , Mabrigedia etc etc nao wana stahiki fulani fulani maisha yao yote wanapostaafu.
Kuna stahiki katika maeneo makuu yafuatayo:-
1. Mshahara
2. Samani (Furniture)
3. Mawasiliano
5. Nyumba, umeme, maji
6. Ulinzi (24 hrs) na watumishi wa kumsaidia kazi zake kama mpishi , Katibu , Dereva , Secretary n.k
7. Safari za kwenda nje mara kadhaa hivi nchi uitakayo
8. Mavazi
9. Usafiri
10. Ofisi
Na mengineyo mengi yaliyojificha.
Ni kwa kiwango gani wanapewa hapo sijui. Kuna tetesi kuwa Waziri Mkuu Mstaafu anapata 80% ya mshahara wa Waziri Mkuu wa sasa.
Lets share.
Kwa mujibu wa Katiba yetu ya mwaka 1977, kuna ngazi ama level ya Uongozi ukishaifikia basi wewe utaendelea kuishi kwa gharama za serikali maisha yako yote hapa duniani (mpaka ufe).
1. Rais Mstaafu
2. Makamu wa Rais Mstaafu
3. Waziri Mkuu Mstaafu
4. Spika wa Bunge Mtaafu
5. Jaji Mkuu Mstaafu
6. Mkuu wa Jeshi la Wananchi Mstaafu (CDF)
7. Mkuu wa Jeshi la Polisi Mstaafu (IGP)
8. Mwanasheria Mkuu Mstaafu (AG)
Kuna sijui Majaji , Mabalozi, Makamishina , Mabrigedia etc etc nao wana stahiki fulani fulani maisha yao yote wanapostaafu.
Kuna stahiki katika maeneo makuu yafuatayo:-
1. Mshahara
2. Samani (Furniture)
3. Mawasiliano
5. Nyumba, umeme, maji
6. Ulinzi (24 hrs) na watumishi wa kumsaidia kazi zake kama mpishi , Katibu , Dereva , Secretary n.k
7. Safari za kwenda nje mara kadhaa hivi nchi uitakayo
8. Mavazi
9. Usafiri
10. Ofisi
Na mengineyo mengi yaliyojificha.
Ni kwa kiwango gani wanapewa hapo sijui. Kuna tetesi kuwa Waziri Mkuu Mstaafu anapata 80% ya mshahara wa Waziri Mkuu wa sasa.
Lets share.