sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,521
- 7,368
Ngumu sana kujua mali za waafrika maana kwanza sisi siyo wawazi, ndiyo maana hata data za forbes africa kuna watu hawaziamini.Harmonize kasema hakuna msanii wa Tanzania alie mkubwa Africa ila tunadanganyana tu,akabezwa..
List ya wasanii wanaomiliki mkwanja mrefu imetoka na msanii wetu tunaemuita mkubwa ametoka kapa hata kwenye 15 hayupo..
Hii ina maana vile vyanzo vya mapato vyote inavosemekana vyake havimuingizii faida,watu wanajinufaisha kupitia yy alaf anatamba kwa sifa tu
Pole sana kwake na kwa nyie mnaomlamba miguu,dunia ya sasa ni vigumu sana kuongopa
Rayvany ana hela?? Hivi hela mnadhania MATAKO EEEHView attachment 1780929
Si haba, baada ya hapo anayefata ni Rayvanny.... Ukweli mchungu Sana
Kuna yule jamaa MANSU LI jamaa najuaga ana fremu za biashara kama 100 hivi.Kuna watu (wasanii) wana mkwanja mrefu kuliko Diamond, ila hawana matangazo kabisa wamepiga kimya!
Na Mtu mwenyewe anayebeza hata kwenye list ya daftari la Mtaani kwao hayupo kwenye Watu 5000 bora wenye kipato.Yuko nafasi ya 28, si haba kajitahidi kwa kiwango chake, mnapenda sanaaaaaaa kubeza badala ya kupongeza
Ahahahahahaha hatari sana masikini ndio wenye roho mbayaNa Mtu mwenyewe anayebeza hata kwenye list ya daftari la Mtaani kwao hayupo kwenye Watu 5000 bora wenye kipato.
HAWEZI KUWA NA HUO UTAJIRI.
Nafikiri ungewaambia waliotafiti sio mimi.HAWEZI KUWA NA HUO UTAJIRI.
Kwa mujibu wa vyanzo vya Nigeria, hiyo list waneikopi kutoka kwenye records za Forbes.Hiyo list iko wapi?, na kutoka chanzo kipi?
Kwenye showbiz kujitangaza ndiyo kujibrand, vinaenda pamoja.Mei 1, 2021, ilisambaa taarifa ya kifo cha Haroon Zakaria. Kumbe Zakaria ni Mfanyabiashara mkubwa na bilionea wa Kitanzania, ndio Mmiliki wa Makampuni kadhaa ikiwemo Murzah Oil mills, Zan Fast Ferries na Majipoa.
Wenye fedha hawajitangazi, ila umma unawatambua kwa Miradi na vitegauchumi walivyo navyo. Hatumii nguvu sana kujitangazi wako hivi au vile.
Kanuni moja wapo ya kufanikiwa ni kutoweka wazi mipango yako.
Koffi kafanya mziki mpaka anazeeka, lakini kapitwa na Diamond, amejitahidi sanaaaaaaa