Orodha ya Wasanii wa Afrika wenye mkwanja mrefu, huyu wetu anayemiliki nyumba 126 imekuaje?

It is a fake list. Imegundulika ni tovuti moja Nigeria ndio imechapisha hii habari. Forbes mara ya mwisho kutoa list ya wasanii matajiri Africa ulikuwa ni 2017. Kwenye hiyo list yuko Akon, Oliva Mtukudzi, P Square na wengine nimewasahau.
 
It is a fake list. Imegundulika ni tovuti moja Nigeria ndio imechapisha hii habari. Forbes mara ya mwisho kutoa list ya wasanii matajiri Africa ulikuwa ni 2017. Kwenye hiyo list yuko Akon, Oliva Mtukudzi, P Square na wengine nimewasahau.
Basi vyombo vyetu vya habari ni janga, yaani mpaka Clouds walipost kwenye account yao ya Instagram
 
Back
Top Bottom