Yaani koffi anazidiwa na Diamond!!!???? Nyie watoto nyieView attachment 1780929
Si haba, baada ya hapo anayefata ni Rayvanny.... Ukweli mchungu Sana
Acha bangiKoffi kafanya mziki mpaka anazeeka, lakini kapitwa na Diamond, amejitahidi sanaaaaaaa
Wabunge wa nchi gani?Sasa hizi 5.1usd millioni za Mond,si Sawa na Tsh billioni 11.7Tsh, sasa huu mpunga ni kidogo sana kwa kelele zinazopigwa na wasafi,sasa Kuna wabunge tu kwa mafao yao wanapata mpaka billioni 100
Wanaomcheka Diamond kutokuwepo kwenye top 20 ina maana wamekubaliana na hiyo list, hivyo waendelee kukubali ya kuwa Koffi kazidiwa na Diamond na vilevile ya kuwa Fally hayumo hata kwenye top 30 kwani ndivyo list husika inavyojieleza.Yaani koffi anazidiwa na Diamond!!!???? Nyie watoto nyie
Ipi tena mkuu, kwa mujibu wa hizo list zao mkuu, ndio nasi tunapigia humo humoAcha bangi
Basi vyombo vyetu vya habari ni janga, yaani mpaka Clouds walipost kwenye account yao ya InstagramIt is a fake list. Imegundulika ni tovuti moja Nigeria ndio imechapisha hii habari. Forbes mara ya mwisho kutoa list ya wasanii matajiri Africa ulikuwa ni 2017. Kwenye hiyo list yuko Akon, Oliva Mtukudzi, P Square na wengine nimewasahau.
Kwani yeye ni msanii?Harmonize na funza wake wanashida sana. Sasa nini kimeongezeka kwako, uko nafasi ya ngapi wewe kwanza kwenye hiyo list.