Orodha ya Walionusurika ajali ya Meli Zanzibar

Inasikitisha sana watanzania wenzetu wanakufa kwa ajili ya uzembe inamaana serikali haikujifunza katika ajali ya mv bukoba si mtaalamu wa mambo ya dna lakini hali hii inatisha serikali iwajike kuandaa watumshi wenye uchungu na nchi yao irejee yale aliyokuwa anayafanya hayati baba wa taifa jk nyerere
 
Mkuu prvention is better than cure utambuz wa maiti itumike njia yeyote itakayokuwa ya haraka and more effective serikali ijipang e kupoteza nguvu kazi 200 ni msiba mkubwa hao uzembe wao umeonekana jee upande wa elimu tusikoona madhara yake mara moja hali ikoje
 
Poleni ndg zetu mliofikwa na janga hili.
Kuna fundisho gani kwenye msiba huu?
Kwanza naona uzembe wa moja kwa moja wa wenye mali na serikali kwa kuwaacha wafanyabiashara wafanye watakalo kwa kisingizio cha wenzetu. Kisha naonauzembe wetu raia kutothamini maisha yetu kwa kukubali kushindiliwa na makonda kwenye public transpport huku wengine wakishabikia maneno ya wapiga debe wakitukana wale wasiopenda kupelekeshwapelekeshwa. Kwa mtindo huututamalizana maana sijui kesho itakuwa zamu ya nani
 
Natoa pole sana kwa watanzania wote kwa ajali ya meli.ila naomba sana tuache tabia ya kusubiri tatizo ndiyo tujitokeze kinafiki tukishangaa na kutoa pole,jambo lililotokea la kukiuka taratibu ni kawaida sana kwetu wananchi na viongozi pia.
Sisi wananchi hatuna utamaduni wa kuheshimu sheria,mtu anataka tu awahi hata kwa kuatarisha maisha yake,hapo ferry kigamboni watu wanakufa kila mara kwa kukimbilia kivuko baada ya pantoni kupiga honi ya kuondoka,ndugu zangu tubadilike tuheshimu taratibu kwa ajili ya maisha yetu na tuwe wakali pale tunapoona wanakikuka utaratibu,mfano hao abiria walitakiwa kutoa taarifa kuwa boti limejaza kupita maelezo.
Kwa viongozi
acheni ukatili mnacheza na roho za watu kwa dhamana waliowapa wenyewe,kwani hamsimamii sheria mpaka litokee tatizo ndiyo mnakuja na sura zenu zenye majonzi ya unafiki mkubwa,mfano kwenye kivuko kilichoko mjini kabisa hapo kigamboni kuna watu wameajiriwa kama waokozi lakini likitokea tatizo hawaonekani,kamanga,busisi, mwanza na morogoro hali ni ile ile.naomba mamlaka husika mtubandikia namba za simu za maichaji husika ua viongozi husika kwnye hizi huduma za jamii
poleni watanzania na mungu awape afya njema majerui wote na awaleze pema marehemu,amen
 
Natoa pole sana kwa watanzania wote kwa ajali ya meli.ila naomba sana tuache tabia ya kusubiri tatizo ndiyo tujitokeze kinafiki tukishangaa na kutoa pole,jambo lililotokea la kukiuka taratibu ni kawaida sana kwetu wananchi na viongozi pia.
Sisi wananchi hatuna utamaduni wa kuheshimu sheria,mtu anataka tu awahi hata kwa kuatarisha maisha yake,hapo ferry kigamboni watu wanakufa kila mara kwa kukimbilia kivuko baada ya pantoni kupiga honi ya kuondoka,ndugu zangu tubadilike tuheshimu taratibu kwa ajili ya maisha yetu na tuwe wakali pale tunapoona wanakikuka utaratibu,mfano hao abiria walitakiwa kutoa taarifa kuwa boti limejaza kupita maelezo.
Kwa viongozi
acheni ukatili mnacheza na roho za watu kwa dhamana waliowapa wenyewe,kwani hamsimamii sheria mpaka litokee tatizo ndiyo mnakuja na sura zenu zenye majonzi ya unafiki mkubwa,mfano kwenye kivuko kilichoko mjini kabisa hapo kigamboni kuna watu wameajiriwa kama waokozi lakini likitokea tatizo hawaonekani,kamanga,busisi, mwanza na morogoro hali ni ile ile.naomba mamlaka husika mtubandikia namba za simu za maichaji husika ua viongozi husika kwnye hizi huduma za jamii
poleni watanzania na mungu awape afya njema majerui wote na awaleze pema marehemu,amen
 

7818.jpg

i

Hawa wazungu walikuwa taaban kusaidiana na ndugu zetu kutafuta maiti na watu walionusirika

IMG_6975.JPG



Then VODACOM waliamua kuwa bize kufanya yafuatayoooo

IMG_9142.jpg


wakati mnahangaika kutafuta Maiti za watoto wenu na ndugu zenu hawa walisema watakaosa pesa na wataingia hasara kubwa so wakaendelea kujirusha kama kawaida
 
Oh God have mercy,watu elfu tano imekua Titanic au?jamani kwa nini hajutifunzi kutomana na makosa? miaka kumi na tano iliyopita si tulipoteza wapendwa wengine kwenye MV Bukoba kwa sababu ya Oveload???
 
Nimeangalia channel 10 saiv shuhuda mmoja kasema meli ilikua na watu elf tatu 3000 yani nchi hii imelaniwa hivi kweli watu elfu tatu kwenye kimeli kidogo tu!!! sijui wanatoa kafara ama?!! kwanini waziri husika hajajiuzulu?!!

[h=1]Zanzibar ferry disaster: Scores die, many more rescued[/h]
_55279964_55279963.jpg
Click to play






Captain Neels van Eijk from Whirlwind Aviation flew out over the ocean to help search for survivors and describes what he saw to the BBC

Continue reading the main story[h=2]Related Stories[/h]
At least 187 people have died after an overloaded ferry sank off the Tanzanian island of Zanzibar with at least 800 people on board.
A government spokesman said 620 survivors had been rescued. Three days of mourning have been declared.
The MV Spice Islander was travelling between Zanzibar's main island, Unguja, and Pemba, the archipelago's other main island - popular tourist destinations.
It is thought to have capsized after losing engine power.
Rescue efforts were hampered by the fact that the overloaded boat had capsized at night.
The ship had been bringing people back from holiday after Ramadan, and had reportedly stopped earlier in Tanzania's commercial capital, Dar es Salaam.
The authorities are struggling to cope and have asked for foreign help.
The Zanzibar government has set up a rescue centre and called upon all reserves to join the rescue effort. It has also called for support from other countries, such as South Africa and Kenya.
Washed ashoreThe survivors were ferried by privately owned fast ferries and brought back to the main harbour in the historic Stone Town, Zanzibar police commissioner Mussar Hamis said.
"We are still receiving many bodies by truck loads," Dr Karim Zah of the Mnazi Mmoja Hospital in Zanzibar told Reuters news agency.
_55279298_erbh6z50.jpg
Those rescued were brought back to the main harbour in Stone Town

"The death toll will likely be much higher."
Dozens of soldiers carrying bodies to shore dotted the white sand beaches at the northern tip of Zanzibar island where thousands of people anxiously awaited news of survivors, the agency adds.
Catherine Purvis, a British tourist in Zanzibar who was waiting for a ferry to take her to Dar es Salaam, says she saw lots of bodies being brought out of the water.
"I'm standing at the port in Zanzibar with about 10 other British and American tourists," she said.
"Our ferry has been delayed as they're using all ferries to rescue the people from the ship.
"People are being carried across in front of us on a drip. There are lots of body bags."
Holding onLocal helicopter pilot Captain Neels van Eijk flew over the disaster area.
"We found the survivors holding on to mattresses and fridges and anything that could float," he told the BBC.
_55277002__54271182_zanzibar-1.gif

"By then, there were a few boats that had made their way out. They were looking for survivors, but although the sea wasn't so rough, the waves were high so it was difficult for them to spot them.
"We flew to the boats and guided them to the survivors so that they could pick them up. There were also quite a few bodies in the water."
The ferry left Unguja at around 21:00 (19:00 GMT) and is said to have sunk at around 01:00 (23:00 GMT).
One survivor, Abdullah Saied, said the ferry had been heavily overloaded when it left Dar es Salaam, and some passengers there had refused to board, the Associated Press news agency reports.


SUMATRA WANDAI ETI MELI ILIONDOKA DAR SALAMA, HII SI KWELI HATA KIDOGO.
 
<span style="font-family: comic sans ms"><font size="4"><b>Mi nilizani watasema watatoa huduma za simu bure ili waliofiwa wapate kuwasiliana, kumbe wanatoa oroza. Kama nchi nyingine linapotokea matatizo kama hayo huwa wanaofa wateja wao simu kupiga bure kwa siku nzima. Mmm haya twendeni tutafika </b></font></span>
<br />
<br />
je ni kweli makampuni yakitoa ofa ya kupiga bure watakaotumia ni wenye matatizo tu au na wengine ndo watapatia pa kuchombeza!?
 
Natoa pole zangu kw wafiwa wote na wale wote walonusurika na janga hl. Mungu awapunguzie maumivu na kuwarudshia afya yao. Marehem wote wastarehe kw aman.
 
<br />
<br />
Hivi ww unatumia masaburi kufikiri ama ubongo,! Sasa hiyo ajali inahusiana kweli na mambo ya siasa,!

Wewe ndiyo unafikiri kwa kutumia masaburi kama desturi. Siasa hapo inaweza kuingia kwa sababu nchi hii imekuwa ya wateule wachache. Uongozi mbovu. Mambo mengi ya hovyo yanatokea lakini hakuna kuwajibishana na kwa sababu hakuna wa kumuwajibisha mwingine mambo ya kizembe yanayosababisha upotevu wa maisha ya watu na mali yamekuwa yakijirudia. Ajali iliyotokea ya meli ni ya kizembe na ingeliweza kuepukwa kama kungekuwa na usimamizi mzuri na uwajibikaji. Dalili za kuzama meli zilijionyesha tangu meli yaijaondoka bandarini na ushahidi upo. Imejaza watu kupita kiasi. Leo tunaambiwa wataalamu kutoka Afrika ya kusini wameshindwa kuifikia meli ili kuwatoa watu walionasa ndani ya meli. Huu unaweza kuwa ni usanii mwingine kwa vile wanajua wakitolewa wote walionasa katika meli hiyo itajulikana ni wengi mno na itakuwa ni aibu ya kimataifa. Hawatakubali watolewe kwa sababu wanafunika kombe mwanaharamu apite. Lakini siku yenu itafika na wala haiko mbali. Masaburi yenu
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom