Mdaiwa-Sugu
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 284
- 910
Hii ni orodha ya Wakuu wa Wilaya walioaminiwa na Hayati Magufuli na kupewa wadhifa huo lakini kwa kipindi chote cha Utumishi wao wameonekana kupwaya kwa sababu mbali mbali zikiwemo Ubabe, Majivuno, Ukatili, Migogoro na Watumishi, Wananchi n.k
1. Komanya Kitwala ( DC Tabora)
2. Lengai Ole Sabaya (DC Hai)
3. Joseph Mkude ( DC Ileje)
4. Jerry Muro ( DC Arumeru)
5. Asia Abdallah ( DC Kilolo)
6. Magembe (DC Ukerewe)
7. Mgoyi (DC Kilosa)
8. Kenan Kihongosi (DC Arusha)
Kama upo kwenye orodha hii kuanzia sasa badilika kabla hujazinguliwa na Bi Mkubwa
1. Komanya Kitwala ( DC Tabora)
2. Lengai Ole Sabaya (DC Hai)
3. Joseph Mkude ( DC Ileje)
4. Jerry Muro ( DC Arumeru)
5. Asia Abdallah ( DC Kilolo)
6. Magembe (DC Ukerewe)
7. Mgoyi (DC Kilosa)
8. Kenan Kihongosi (DC Arusha)
Kama upo kwenye orodha hii kuanzia sasa badilika kabla hujazinguliwa na Bi Mkubwa