Orodha ya Wakurugenzi Wakuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) tangu Uhuru

Ndo majibu yako
Ulikiwaga unaelekezwa darasani hivyi???
Heri hata wewe ulikwenda darasani unakujua. Mie hata mlango wa darasa siufahamu.

Nilikataa shule walivyojaribu kunipeleka chekechea tu, kwahiyo sijawahi kuelekezwa darasa lolote mkuu
 
Nimesomaaa weeee ila nimeona MHAYA, MNYAKYUSA na mchagga barikiwa wasukuma
Uko addicted na ukabila.ndo wale mtu akiteuliwa ama alifanya kitu unataka uone Kama ni wa kwenu ili ujisikie kuwa ni Bora kuliko wengine.
Africa tutakuja kuendelea siku ukabila ukiiisha na utaisha tu even 10k yrs to come
 
Hivi watu sijui nani aliwaambia Mwang'onda alikua Kanali(Cheo cha jeshi)....yaan niliposoma hivyo tu nikajua huyu muandishi hata hajui anaowaandika

Cornel ni jina lake la kuzaliwa na Sio Colonel/Kanali
Kweli hajui lakini huyo alikuwa Commanding Officer wa JKT Ruvu akiwa na cheo cha jeshi Colonel pia jina lake kamili ni Cornellius Arpson Mwang'onda,watu wengi inawachanganya.
 
Hawa watu mimi nilikuwa naona ni bora zaidi wawe wanatoka Jeshini. Aidha Mkuu wake anakuwa ametoka JWTZ halafu msaidizi wake Polisi (Usalama wa raia au magereza), au the vice versa. Hii kazi kwa mtu ambaye ni raia perce na ambaye hana affliation yoyote na vyombo hivi vya ulinzi na usalama nadhani huwa inakuwa ni mzigo kidogo kwake, na ninadhani kati ya hawa waliotajwa hapa wengi wao walitokana na vyombo hivi
Inaelekea hujui kabisa,amekuwa sehemu ya intelligence kwa muda mrefu mpaka anateuliwa kuwa mkuu,wewe unamwita raia? huyo ni mtendaji mzuri kiasi cha wewe kutojua kuwa ni askari pia.
 
Mhaya, Jack Zoka amewahi kuwa naibu tu basi. Hakujawahi kuwepo DG mhaya. Nimemtaja Zoka kwa sababu yeye mwenyewe aliwahi kujitokeza hadharani kumjibu dakta Slaa enzi zake. Ila kwa mujibu wa sheria DG ndio inaruhusiwa kujulikana kwa maafisa wote wa TISS na hii ni kwa mujibu wa sheria.
Hata zile mbwembwe za 2016 kutambulishwa kwa Bob Makungu(RAS) kwamba ni naibu sijui zilitoka wapi? Amestaafu ubalozi Canada. Yuko wapi huyu mzee?
Kwa Sasa naibu Dg ni Nani?
 
Hapana mkuu DGIS anajulikana, DOI anajulikana(Na huyu ndo alikua anakaimu mara nyingi DG anaposafiri)....mara nyingi DEO ndo anakua nyuma ya pazia kutokana na shughuli anazosimamia pamoja na CTO. Mkuu wa Vital Installations pia bi Giza. Chini hapo ni RS na DR wake na ma DS wanajulikana. Saivi na huyo mpya cheo cha DGIS anaruhusiwa kujulikana
Hizo abbreviations ungezifafanua ingekuwa poa sana
 
UWE NI UZI WA KUPEANA CONNECTION

NI PM KAMA UNA CONNECTION
YA TISS
NINA MIAKA 22
NIMETOKA JKT NACHINGWEA ALIPOKUWA CDF


NINAELIMU YA CHUO KIKUUUU

NIMESHIRIKI KUZIMA MOTO KILIMANJARO
Wewe inaonyesha umejaa utopolo kichwani kwanza umemtukana Kiranga mtu anayeheshimika Sana jf pili ka CV kako la kipuuzi ka kuzima Moto Mt knjaro ndio unaombea connection za tiss.
 
TISS Ilikuwepo muda mrefu sana inawezekana kulikuwa hakuna sheria, lakini mimi nimeelewa uwapo wa TISS tangu miaka hiyo ya sabini. Kuna ndugu yangu mmoja alikuwa ofisa wa TISS wakati wa Nyerere, na alikuwa anaishi maisha kama yuko mbinguni. Kama uliwahi kumfahamu jamaa anaitwa Walingozi, basi huyo ndiye aliyekuwa chuma cha pua wa TISS.

Mwanozni mwa miaka ya themanini ilikuwa ni almanusra tu na mimi ningeinga TISS ila nadhani hawakupenda maisha yangu ya ujana wakati huo kutokana purukushani zangu nyingi sana za wakati huo. Ila Takuru walinifanya kuwa ripota wao kwa kipindi fulani ingawa bila malipo yoyote bali malupululupu tu- ambayo yalikuwa yananitosheleza haja zangu wakati huo.
Walingozi maarufu Sana kitengo
 
Yule jamaa alikuwa mwamba sana wa mambo ya usalama wa taifa; usiombe kukutana naye katika mambo yanayohusu usalama wa taifa. Enzi hizo tulikuwa na watu wanaojua utaifa kutoka mioyoni mwao na Walingozi alikuwa mmoja wao.
Nani
 
45 Reactions
Reply
Back
Top Bottom