Ninaowakumbuka,
1. Augustine Lyatonga Mrema, alikuwa mbunge wa Moshi Vijijini (CCM), 1995 alijiengua na kujiunga na NCCR-MAGEUZI.
2. Rostam Azizi, alikuwa mbunge wa Igunga (CCM), June 2011, huyu aliachana kabisa na siasa uchwara.
3. Lazaro Nyalandu, alikuwa mbunge wa Singida Kaskazini (CCM), Oct. 2017 alijiengua na kujiunga na CHADEMA.
4. Fred Mpendazoe, alikuwa mbunge wa Kishapu (CCM), March 2010 alijiengua CCM akiwa mbunge ili kuanzisha chama kipya cha CCJ.
5.
Kama unamkumbuka mbunge yeyote please ila ni yule 'aliyejiuzulu' ubunge tu.
1. Augustine Lyatonga Mrema, alikuwa mbunge wa Moshi Vijijini (CCM), 1995 alijiengua na kujiunga na NCCR-MAGEUZI.
2. Rostam Azizi, alikuwa mbunge wa Igunga (CCM), June 2011, huyu aliachana kabisa na siasa uchwara.
3. Lazaro Nyalandu, alikuwa mbunge wa Singida Kaskazini (CCM), Oct. 2017 alijiengua na kujiunga na CHADEMA.
4. Fred Mpendazoe, alikuwa mbunge wa Kishapu (CCM), March 2010 alijiengua CCM akiwa mbunge ili kuanzisha chama kipya cha CCJ.
5.
Kama unamkumbuka mbunge yeyote please ila ni yule 'aliyejiuzulu' ubunge tu.