Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,117
- 26,596
Waloyafanya majimbo yao, Mungu mwenyewe ataingia kazini na kuwaondoa!Dk Limbu ameshauriwa safari hii achukue jimbo la Sumve, liko wazi baada ya Mh. Ndassa kufariki. Bila Limbu kwenda kusimama jimbo hilo kuna uwezekano mkubwa kwamba CCM wanaweza kulipoteza. Vijana wa jimbo hilo wote waoga kugombea, unless labda iwe kuna mtu ambaye mimi simfahamu!
Yajayo yanafurahisha
Sent using Jamii Forums mobile app