Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,385
Nakubaliana na wewe mkuu!Kuna harufu ya uongo hapa .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na wewe mkuu!Kuna harufu ya uongo hapa .
Kama ni msomaji wa makala za Pascal Mayalla basi wewe ni punguani!Binafsi nimesoma makala za kusisimua za Pascal Mayalla humu JF na za wachangiaji wengine. Napenda sana kusoma na kujiongeza maarifa kwa kusoma vitu vinavyo endana na taaluma yangu ya Business Management ila sipendelei kusoma habari za watu ama maisha ya watu na nikijitahidi kusoma hata kurasa mbili tu nasinzia. Yaani sijuwi nikoje, sioni kabisa umuhimu wa kujuwa maisha ya watu, sipendi umbea.
By the way kusoma vitabu nacho nadhani ni kipaji au tuseme hobby na mbona wengine hapa tukiuliza mmekunywa bia lita ngapi utakuta watu wamekunywa hadi madsimtenk kadhaa. Kuna watu mnakesha kuangalia series na masultan yenu mda wote. Mimi binafsi movies ni zero interest. Lakini kukesha nasoma novel au kulala night Kali ni kawaida sana.Kusoma vitabu 52 kwa mwaka siyo mchezo,nina uhakika kabisa hata mboo haiwezi kusimama kwa muda wote huo!
No 8 unacho pdf? UnitumieNaomba kukazia kuwa baada ya Biblia, kitabu kingine muhimu hapo ni No. 8 tu..!
joking...!!
Nitakutumia,No 8 unacho pdf? Unitumie
Okay nitashukuruNitakutumia,
Ndugu kama Soft unayo siungetupia humu kila mtu apakue na kuvisoma ili wote tufaidikeJumla ya orodha ya vitabu nilivosoma mwaka 2020
1. Bibilia Takatifu(sijaimaliza lakini nakisoma kila siku kama sehemu muhimu ya chakula cha kiroho)
2. Mossad (Moja ya vitabu bora kabisa katika Nyanja za Operesheni za Kijasusi katika historia ya Taifa la Israel
3. Tough times never Last but Tough people Do(Hiki ni muhimu kila mmoja akatafuta nakala yake,ni kitabu bora kabisa,kina mafundisho mengi ya maisha
4. The Angel by Uri Bar Joseph
5. Che Guevara Biography by Richard Harris
6. The New World Order by Ralph Epperman
7. The Intelligent Investor-By Benjamin Graham
8. Why Men Love Bitches by Sherry Agrov
9. Spy the lie by Philip Houston,Michael Floyd and Susana Carnicero
10. Eyes on Darkness by Dean Koontz
11. Gods Generals by Roberts Liardon
12. Spirit war by Ronald Niezen
13. Start with Why by Simon Sinek
14. Rich Dad Poor Dad (Marudio)
15. Plague of Corruption by Kent Heckenlively and Judy Mikovits
16. Woman who love too much by Robin Norwood
17. The Secrets of Word-of-Mouth Marketing by George Silverman
18. Switch on your brain by Dr Caroline Leaf
19. AUTOMATIC CUSTOMERS by John Warrilow
20. Shall We Tell the President?by Jeffrey Archer
21. Life is what you make it by Preeti Shenoy
22. THE ADVENTURES OF SHERLOCK HOLMES BY SIR ARTHUR CONAN DOYLE
23. See You at the Top by Zig Ziglar
24. The Success principle by Jack Carnfield
25. Brain Rules by John Medina
26. Black Genesis by ROBERT M. SCHOCH,
27. Pan Africanism-by Hakim Adi
26. How to Negotiate Anything with Anyone Anywhere Around the World by Frank Acuff
27. My Life by Bill Clinton
28. Opereshen Rwanda by Japhet Nyangoro
29. Saa 72 by Japhet Nyangoro
30. Panama by Japhet Nyangoro
31. The Monk who sold his Ferrari(Marudio)by Robin Sharma
32. An Impeccable Spy by Owen Mathews
33. Animal Farm (marudio) George Owen
34. Arranged Marriage by CHITRA BANERJEE DIVAKARUNI
35. Becoming by Michelle Obama
36. Promised land by Barak Obama
37. Countdown to Zero day by Kim Zetter
38. The Origins of Christianity and the Quest for the Historical Jesus Christ by Acharya S
39. Deeper State by Robert Maginnis
40. MAKE YOURSELF A MILLIONAIRE by Charles Zhang
41. Mental Slavery by Hugo Africa
42. Millionare Success habit by Dean Graziosi
43. The Natural Remedies Encyclopedia by Vance Ferrel
44. Operation Gladio by Paul Williams`
45. UNLEASH THE WARRIORWITHIN
RICHARD(marudio) “MACK” MACHOWICZ
46. The rules of work(marudio) by Richard Templar
47. Shoe Dog by Phil Knight
48. Start your own Business(marudio) by the Staff of Entrepreneur Inc
49 . THE NEW CONFESSIONS OF AN ECONOMIC HIT MAN by John Perkins
50. Wisdom 2019 by Elijah Mwape
51. Rise and kill first by Ronen Bergman
52. Does State Spying Make us Safer? By Hayden and Dershowitz vs Greenwald and Ohanian
chanzo Ephata Nanyaro ni memba hapa muulizeni
Mwenye PDF ya vitabu vya adili na nduguze na alfu Lela ulela naomba anisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Na utakuta ladies ndio waliongoza kwa kukinunuaNaomba kukazia kuwa baada ya Biblia, kitabu kingine muhimu hapo ni No. 8 tu..!
joking...!!
Haha,