Upo wapi tufanye kazi hiyo?Mm nahitaji tablet yeyote ile
Mawasiliano 0715378899
Nipo dar, number hiyo kma unayo tuma picha kwenye whatsappUpo wapi tufanye kazi hiyo?
angalia usije kuwa mchina, hio bei ndogo sana kuweza kununua simu kama hioKuna jamaa ana LG G5 anataka kuniuzia Kwa laki 4 za kitanzania.
Vipi hiyo bei wadau?
angalia usije kuwa mchina, hio bei ndogo sana kuweza kununua simu kama hio
Nipe maujanja ya kung'amua kama ni mchina au la.
around 500,000 hadi 600,000 sema ni ngumu kuzipata hapa Tanzania.Lenovo vibe p2 bei gan mkuu?
kama milioni moja hivi japo unaweza ipata bei rahisi kidogo.LG G5 bei ya dukani ni Tsh ngap
Kuna jamaa ana LG G5 anataka kuniuzia Kwa laki 4 za kitanzania.
Vipi hiyo bei wadau?
Kwa sasa hamna hata TECNO moja ya 4G yenye 3GB RAM na betri kuanzia 5000mAh, labda tusubiri hizi za L9 na L9 Plus, huenda mojawapo ikawa na 4G, 3GB RAM na betri la 5000mAh, mojawapo ikiwa na sifa kama za hapo juu, basi tutaiweka kwenye list.tecno haipo ???