Hamna kitu hapo. Hio s20ultra ilishindanishwa na iphone11 promax. Iphone alishinda huenda hio list wameangalia megapixels
Techno inapatikana Africa tuu hâta China haipoSisi wenye tecno umetutenga
wenzako wanakwenda mbali zaidi hawaishii sifa moja moja.
Hii list imejaa mahaba zaidi.Hawa ni digital camera word
The best camera phone in 2024: what's the best smartphone for photography?
The best camera phones take photos and video that rival traditional cameras – these are the top smartphone shooterswww.digitalcameraworld.com
kuizika android itabaki kuwa ndoto aliyotangulia nayo mbele za haki.So far review zinasema iphone 12 ipo kwenye ligi ya peke yake. 12 ni habari nyingine. Nakumbuka maneno ya jobs kwamba ange spend everything to kill android , sasa naona apple wakiamua kuizika android ni dk 0 .
Mkbhd ameandika “DAMN GOOD”
The verge: wameandika NEW STANDARD
kuizika android itabaki kuwa ndoto aliyotangulia nayo mbele za haki.
mapungufu yaliyopo android ni madogo sana na yanarekebishwa kila mwaka,muone huawei kabla hajala kabali alikuwa anamfanya kitu gani apple.kirin ilikuwa na speed nzuri sana ukiachana na camera nk.
Ni kweli nimeleta hii mada lakini huo uchambuzi sio wa kwangu. Nimepaste tu hapo 😁Mleta mada, unajua uwezo wa Camera ya Sony Xperia 5 II ?
Sumu gani ya huawei (flagship) imeuza kuliko iphone katika category ya flagship ?
What a f***???Techno inapatikana Africa tuu hâta China haipo
Ukibisha ingia ali express tafita simu ya tecnoWhat a f***???
Mkuu hili suala imenibidi nifatilie kidogo. Walinijaza sana ujinga hawa wapuuzi ila majuzi hapa nikashtuka kuona mbona wanazikusa sana simu za Xiaomi na kuzipondea Samsung. Wanasifia simu ila kama mfuatiliaji wa kawaida unashangaa mbona wamekuza. Mfano kwenye hii list hizo Honor nyingi hivo hazikustahili ingawa ni ya 2020Kwa hisani ya Dxomark, kampuni ambayo ukigoma kuwasaidia wanakunyima score kubwa, kampuni ambayo ili upate score kubwa unatakiwa ufanye nao kazi ili wa optimize simu yako ipate score nzuri.
Hao jamaa si wakuaminika na mtu yoyote anaewafahamu vizuri atakuambia uwapuuze tu.
Mimi 2017 niliona wapigaji, walitangaza kwamba makampuni ya simu yashirikiane na wao ku optimize simu zao kwa ajili ya Dxomark, OnePlus akaenda, baada ya muda mfupi a kapewa score kubwa kushinda hata iPhone, na scenario zingne zaidi ya s8.Mkuu hili suala imenibidi nifatilie kidogo. Walinijaza sana ujinga hawa wapuuzi ila majuzi hapa nikashtuka kuona mbona wanazikusa sana simu za Xiaomi na kuzipondea Samsung. Wanasifia simu ila kama mfuatiliaji wa kawaida unashangaa mbona wamekuza. Mfano kwenye hii list hizo Honor nyingi hivo hazikustahili ingawa ni ya 2020