tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
moja ya matatizo sugu nchini Tanzaniz kama zao la rushwa ni kuuzwa kwa viwanja vya wazi. kadri siku zinavyosonga mbele, viwanja hivi vinaisha. Nahofia watoto wetu hawatakuta viwanja vya wazi vya michezo kama vilivyokuwepo wakati wetu. Viwanja hivi havikuwa wazi kwa sababu ya kukosa kitu cha kufanyia bali vilikuwa wazi kwa malengo maalum ya mipango miji kama bustani za wazi, kuchezea watoto na kupitishia/kutengenezea hewa nzuri/upepo. Ila inasikitisha sana, siku hizi has kuanzia awamu ya pili watu wamejiona wao ndio wanajua kujenga.
Leo natoa mfano mmoja ninaoukumbuka, naomba wengine waongezee orodha yao
Mtoni kwa azizi ali ambapo sasa kuna keep-left pale njia panda ya temeke,mbagala, uhasibu na kwa kabuma kulikuwa na open space nzuri sana sana sana. open space hiyo sasa imejengwa Filling Station. Inasemekana alihonga viongozi wadogo (ofisi ya CCM wilaya na halmashauri0 akapigwa stop then akahonga juu (makao makuu ya CCM Dodoma na wizara ya ardhi HQ) akamilikishwa. Hapo zamani, watoto wengi kama si wote wa maeneo ya karibu (kwa kombo, mwembe madafu, kwa kabuma, sifa, mtongani) tulikuwa tunakutana pale kucheza maana kulikuwa na facilities zote za mnichezo...si watoto tu hata watu wazima maana kulikuwa na vivuli vizuri na upepo mzuri sana
Leo natoa mfano mmoja ninaoukumbuka, naomba wengine waongezee orodha yao
Mtoni kwa azizi ali ambapo sasa kuna keep-left pale njia panda ya temeke,mbagala, uhasibu na kwa kabuma kulikuwa na open space nzuri sana sana sana. open space hiyo sasa imejengwa Filling Station. Inasemekana alihonga viongozi wadogo (ofisi ya CCM wilaya na halmashauri0 akapigwa stop then akahonga juu (makao makuu ya CCM Dodoma na wizara ya ardhi HQ) akamilikishwa. Hapo zamani, watoto wengi kama si wote wa maeneo ya karibu (kwa kombo, mwembe madafu, kwa kabuma, sifa, mtongani) tulikuwa tunakutana pale kucheza maana kulikuwa na facilities zote za mnichezo...si watoto tu hata watu wazima maana kulikuwa na vivuli vizuri na upepo mzuri sana